Wadau, kuna mdau aliweka thread kwamba, ana software yenye uwezo ku retrieve sms and etc ktk simu nyingine either mumeo,mke wako etc, naomba contacts zake
mie mwenyewe nimeweka kwenye simu ya nyumba ndogo. kisha inajipoteza hivyo haionekani tena hadi uiite wewe. bila ya mwenyewe kujua inarekodi maongezi yote na inanitumia kwenye email yangu. meengi nimeyajua kwa mfano
kwa siri kabisa anapiga namba ya mtu wake, wanalonga, kisha anaifuta papo hapo. kwa huyo hatumi hata sms. ni call only. mjanja kiasi chake ila....... akija nyumbani anaonesha mapenzi motomoto.
sasa ule mpango wa kumjengea nyumba umekufaaaa......
ila unatakiwa uwe na subira au utapata ugonjwa wa moyo kaka
Napenda tu hizo dots unaweka...sijui ndo swagger au ni utaratibu mpya wa punctuation?
1. hii software hurekodi phone calls kwa format ya 3gpp. maongezi ya 20minuts maximum ni 600kb.... hayafiki hata 1mb. tena inakuwa clear conversation.Hii kitu nimeipenda ila nauliza kwa manufaa ya wengine
je,assume yfu kaongea na jamaa wake 1-2hrs hivo audio iliyo-recodiwa ina 100MB na yfu huwa haungi bundle zaidi ya zile za cheka bobastik au Mini kabang ambzao wanakupa 60MB
Sasa swali langu ni hiyo Bundle itaweza upload hiyo audio conversation kuituma kwenye email yangu au inatumwa kwenye server za kampuni husika afu wananitumia mm?
Je,ku-record hizo sms/calls lazima awe Online ndo hiyo app itarecord?
Au itarecord na aki-access data basi audio/sms itatumwa kwenye sehemu husika?
Nifungue macho kibishi hapo mkuu
1. hii software hurekodi phone calls kwa format ya 3gpp. maongezi ya 20minuts maximum ni 600kb.... hayafiki hata 1mb. tena inakuwa clear conversation.Hii kitu nimeipenda ila nauliza kwa manufaa ya wengine
je,assume yfu kaongea na jamaa wake 1-2hrs hivo audio iliyo-recodiwa ina 100MB na yfu huwa haungi bundle zaidi ya zile za cheka bobastik au Mini kabang ambzao wanakupa 60MB
Sasa swali langu ni hiyo Bundle itaweza upload hiyo audio conversation kuituma kwenye email yangu au inatumwa kwenye server za kampuni husika afu wananitumia mm?
Je,ku-record hizo sms/calls lazima awe Online ndo hiyo app itarecord?
Au itarecord na aki-access data basi audio/sms itatumwa kwenye sehemu husika?
Nifungue macho kibishi hapo mkuu