William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
- Wakuu heshima mbele sana, Tanzania ni muda mrefu sasa tumekuwa tukihangaika sana na hii ishu ya mapumziko baada ya utumishi wa siasa na serikali yetu, hii ishu imekuwa mwiba mbaya sana kwetu kitaifa inapofika wakati wa kupumzika wahusika watajaribu kila mbinu kuizunguka hii ishu ili waendelee tu in some capacity.
- Wananchi tumekwua very critical bila kujali circumstances na facts surrounding the ishu, now I am not an apologist wa wakwepaji kupumzika, lakiini je ni kweli tunayo mazingara ya kuridhisha kwa mapumziko kwa wastaafu wetu? Kwa mfano hivi karibuni Rais Kaunda, alisajiliwa na kufundisha shule moja kule Boston kwa miaka miwili, I mean malipo yalikua very poa hata mtumzima hakujali kushika chaki, pia heshima nayo ilikuwa kubwa sana, ninakumbuka sana Waheshimiwa Al-noor Kassum na Mwandosya, walipoamua kwenda kushika chaki jinsi viongozi wengine walivyokuwa wakiwashangaa badala ya kuwaheshimu.
- Now who is at fault watumishi wetu wasiotaka kutoka au taifa wka kushindwa kuwatayarishia mazingira bora ya kutaka ku-retire sio mapema tu, bali hata wakati ukifika? I mean somebody is at fault na siamini kwamba ni watumishi! maana wenzetu Libya hawana haya matatizo, serikali yao ina Social Security nzuri na pia kuna retirement homes, na pia nursing home kwa ajili ya wazee as the results sio rahisi hata kuwakuta wa-Libya majuu wakibangaiza, huwa wanabaki kwao tu!
Respect.
FMEs!
- Wananchi tumekwua very critical bila kujali circumstances na facts surrounding the ishu, now I am not an apologist wa wakwepaji kupumzika, lakiini je ni kweli tunayo mazingara ya kuridhisha kwa mapumziko kwa wastaafu wetu? Kwa mfano hivi karibuni Rais Kaunda, alisajiliwa na kufundisha shule moja kule Boston kwa miaka miwili, I mean malipo yalikua very poa hata mtumzima hakujali kushika chaki, pia heshima nayo ilikuwa kubwa sana, ninakumbuka sana Waheshimiwa Al-noor Kassum na Mwandosya, walipoamua kwenda kushika chaki jinsi viongozi wengine walivyokuwa wakiwashangaa badala ya kuwaheshimu.
- Now who is at fault watumishi wetu wasiotaka kutoka au taifa wka kushindwa kuwatayarishia mazingira bora ya kutaka ku-retire sio mapema tu, bali hata wakati ukifika? I mean somebody is at fault na siamini kwamba ni watumishi! maana wenzetu Libya hawana haya matatizo, serikali yao ina Social Security nzuri na pia kuna retirement homes, na pia nursing home kwa ajili ya wazee as the results sio rahisi hata kuwakuta wa-Libya majuu wakibangaiza, huwa wanabaki kwao tu!
Respect.
FMEs!