Darasa la saba na form four ... degree!!?wadau kuna ule mtihani wa RPL unaomwezesha mtu aliyemaliza la saba,form4 na wengineo ili waweze kujiunga na digri 2016/2017 matokeo yameshatoka kwa waliofanya pepa la education UDOM.
wale hawakuwa na cv za zakutoshaDarasa la saba na form four ... degree!!?
Mbona wale form four wa Diploma za Ualimu UDOM waliondolewa na kuitwa vi.la.za. Iweje tena wale wa stad 7 wawe admitted kwa degree programs!!
watu gani mkuuJaman naombeni contact za kuwasiliana na hawa watu nina shida nao sana!!!
Kwa hiyo ni CV na siyo vyeti vinavyokupeleka University!!?wale hawakuwa na cv za zakutosha
watu gani mkuu
Hawa jamaa kuhisiana na kupiga paperwale hawakuwa na cv za zakutosha
watu gani mkuu
Hilo jambo ata mm linanitatza.Kwa hiyo ni CV na siyo vyeti vinavyokupeleka University!!?
Hivi kweli kama mtu ameshindwa darasa la saba au form IV atawezaje chuo!!?
c kwamba wanaenda tu university kwa cv. wanapiga pepa kwanza ukifaulu ndo utaaply chuo kikuu.inakuwa equivalent, na hilo pepa si la kitoto nawe kama unaona unaonewa wenzako wanapewa fevor nawe kapige hilo lipepa utaniambia ilivyo solidKwa hiyo ni CV na siyo vyeti vinavyokupeleka University!!?
Hivi kweli kama mtu ameshindwa darasa la saba au form IV atawezaje chuo!!?
kama wana umri miaka30 na uzoefu wa miaka5 kazini wakaandamane,kwa sababu hawa jamaa wanatakiwa wapate B+ yaani 65-100 ndo waqualify kujiunga na hako kadigriila saba tena ukasome digriii bas zile three zilizoachwa D,E zitaandamana,,,,,,,,,,,,,,,, hoja zmekaaje
hakuna haja ya kufuta wacha watu wamiliki digrii kabla maisha yao hayaja koma kwa sababu ni mfumo ambao upo duniani c tz tu. kwa mfano Kaingie website ya udom kacheki hayo matokeo kisha urudi hapa tuendelee na madakàma ,C,E zinaachwa na Ç ni 65 form sox 2016, iyo yakutoka la saba kwenda digrii ata kama wana uzoefu sijui wa mdudu gani , bhana serikali wafute iyo
iyo ya la saba eti aendee digrii wakat watu wanakufa advance na chandi,bs,nelkon,tom dunkan , waziri atakuja uko muda sio mrefuha
hakuna haja ya kufuta wacha watu wamiliki digrii kabla maisha yao hayaja koma kwa sababu ni mfumo ambao upo duniani c tz tu. kwa mfano Kaingie website ya udom kacheki hayo matokeo kisha urudi hapa tuendelee na mada
Mkuu huko nilishapita tena straight!!c kwamba wanaenda tu university kwa cv. wanapiga pepa kwanza ukifaulu ndo utaaply chuo kikuu.inakuwa equivalent, na hilo pepa si la kitoto nawe kama unaona unaonewa wenzako wanapewa fevor nawe kapige hilo lipepa utaniambia ilivyo solid
It's true, only in Tanzania!!Hilo jambo ata mm linanitatza.
Yan ss tu hustle miaka yote kupitia stage zote alaf mtu kiulain anaenda kuchukua shahada.
Kwel dunian hakuna hak
peleka mbwembwe kule na multiple choise za kuotea...... eti form six hawezi.....na mashaka na akili ako jinsi inavyo operate....Naon watu mnapiga domo tu bila evidence. Mm nimefany ule mtihan akiyamungu tena standard 7 hawez kupata hata maks 5, mtihan mgumu sana yan namashak hata form six Hawa wa BRN hawawez kufaul maan pass maksi ni 65 maswali 200, nimefanya mzumbe huo mtihan umetungw na maprofesa nasubr majib now