Quemu
JF-Expert Member
- Jun 27, 2007
- 984
- 128
Kama kuna maeneo mawili muhimu ambayo yanaweza kubadilisha mji wa Dar Es Salaam kwa kuleta ladha mpya ya jiji la kisasa basi ni maeneo yaliyopo base za majeshi yetu. Ninazungumzia maeneo ya Mgulani na Lugalo.
Inawezekana wakati blueprint (ramani) ya jiji Dar ilipokuwa drafted, wataalam hawakufikiria kuwa jiji hili linaweza kukuwa zaidi ya mipaka waliyoweka. Au pengine walifikiria hivyo na wakaandaa expandable blueprint, lakini watawala wetu wakapuuzia au wakakosa means za kui-implement. Vyovyote vile, kutokana na ukuajia wa jiji la Dar, maeneo haya mawili ya jeshi yamemezwa na kuwa ndani ya jiji kabisa.
Kutokana na hali hii, kuna haja kubwa ya kufanya mpango wa kuyaamisha majeshi yetu kutoka maeneo haya na kuyasogeza nje ya mji. Sababu za kufanya hivyo zinaweza kuwa ziko nyingi, lakini pengine mbili muhimu ni:
1) Suala la security na privacy za Jeshi kwa ujumla
2) Suala la majeshi hayo kumiliki maeneo makubwa ndani ya jiji.
Ningependa kutogusa sababu ya kwanza (sio dhumuni la mada hii). Uvutio wangu huko kwenye sababu ya pili.
*****************************************************************************************
Ni maeneo gani haswa nizungumziayo?
Eneo la jeshi lililopo Mgulani eneo jeshi hili limeanzia mara tu baada ya kumaliza zile flats kumi zilizopo Keko Bora (zile flats zilizoanzia pale kwenye kona ya kiwanda kilichokuwa cha visu - Tameko), limekwenda mpaka maeneo ya shule ya msingi Mgulani, likaelekea mpaka kwenye junction ya barabara za Sabasaba na Kawawa, na mpaka maeneo ya Uwanja wa Taifa.
Eneo la jeshi lililopo Lugalo eneo hili linaanzia mara tu baada ya junction ya barabara za Bagamoyo na barabara ya kwenda Ubungo (Mandela Road?), limekwenda mpaka maeneo ya Kawe, na mpaka Makongo Juu.
*Maeneo haya niyo orodhesha ni kwa tathmini ya harakaharaka. Kwa hiyo kunaweza kuwa na + or - ya maeneo.
******************************************************************************************
Sasa basi kama tukifanikiwa kuhamisha majeshi haya, basi tunaweza kutanua na kulipendezesha jiji la Dar na kulipa ladha mpya kabisa ya jiji la kisasa.
Mfano, tukiangalia eneo la Lugalo. Eneo hili, ukijumlisha na maeneo ya Chuo Kikuu, Changanyikeni, na upande wa pili wa Kawe (Tanganyika Packers area) linaweza kabisa kuhamisha focus ya jiji kutoka City Center. Pale panaweza kutengenezwa infrastructure ya nguvu, ambayo itajumuisha office buildings, residential condominiums/apartments, shopping centers, na parks. Yes, panatosha kuweka vitu vyote hivyo na zaidi.
Sasa tukifanya hivyo hivyo kwa eneo la Mgulani, basi tutazungumzia mengine kabisa kuhusu Dar. Bila ya shaka itatubidi tuweke The New kabla ya jina "Dar Es Salaam."
Inawezekana wakati blueprint (ramani) ya jiji Dar ilipokuwa drafted, wataalam hawakufikiria kuwa jiji hili linaweza kukuwa zaidi ya mipaka waliyoweka. Au pengine walifikiria hivyo na wakaandaa expandable blueprint, lakini watawala wetu wakapuuzia au wakakosa means za kui-implement. Vyovyote vile, kutokana na ukuajia wa jiji la Dar, maeneo haya mawili ya jeshi yamemezwa na kuwa ndani ya jiji kabisa.
Kutokana na hali hii, kuna haja kubwa ya kufanya mpango wa kuyaamisha majeshi yetu kutoka maeneo haya na kuyasogeza nje ya mji. Sababu za kufanya hivyo zinaweza kuwa ziko nyingi, lakini pengine mbili muhimu ni:
1) Suala la security na privacy za Jeshi kwa ujumla
2) Suala la majeshi hayo kumiliki maeneo makubwa ndani ya jiji.
Ningependa kutogusa sababu ya kwanza (sio dhumuni la mada hii). Uvutio wangu huko kwenye sababu ya pili.
*****************************************************************************************
Ni maeneo gani haswa nizungumziayo?
Eneo la jeshi lililopo Mgulani eneo jeshi hili limeanzia mara tu baada ya kumaliza zile flats kumi zilizopo Keko Bora (zile flats zilizoanzia pale kwenye kona ya kiwanda kilichokuwa cha visu - Tameko), limekwenda mpaka maeneo ya shule ya msingi Mgulani, likaelekea mpaka kwenye junction ya barabara za Sabasaba na Kawawa, na mpaka maeneo ya Uwanja wa Taifa.
Eneo la jeshi lililopo Lugalo eneo hili linaanzia mara tu baada ya junction ya barabara za Bagamoyo na barabara ya kwenda Ubungo (Mandela Road?), limekwenda mpaka maeneo ya Kawe, na mpaka Makongo Juu.
*Maeneo haya niyo orodhesha ni kwa tathmini ya harakaharaka. Kwa hiyo kunaweza kuwa na + or - ya maeneo.
******************************************************************************************
Sasa basi kama tukifanikiwa kuhamisha majeshi haya, basi tunaweza kutanua na kulipendezesha jiji la Dar na kulipa ladha mpya kabisa ya jiji la kisasa.
Mfano, tukiangalia eneo la Lugalo. Eneo hili, ukijumlisha na maeneo ya Chuo Kikuu, Changanyikeni, na upande wa pili wa Kawe (Tanganyika Packers area) linaweza kabisa kuhamisha focus ya jiji kutoka City Center. Pale panaweza kutengenezwa infrastructure ya nguvu, ambayo itajumuisha office buildings, residential condominiums/apartments, shopping centers, na parks. Yes, panatosha kuweka vitu vyote hivyo na zaidi.
Sasa tukifanya hivyo hivyo kwa eneo la Mgulani, basi tutazungumzia mengine kabisa kuhusu Dar. Bila ya shaka itatubidi tuweke The New kabla ya jina "Dar Es Salaam."
Last edited by a moderator: