Semahengere
JF-Expert Member
- Nov 29, 2020
- 1,186
- 1,953
Tatizo wamama mnaingia kwenye ndoa kimaslahi
Hapo ndio mahali mnakwama
Hapo ndio mahali mnakwama
Kimya kimya hadi unakuwa kimya jumla jumla. Sasa hapo mchwa wanakula wewe ukiwa ardhiniNi mwendo wa kimya kimya tu no way out
Huyu Na Kaka Yake Wote Ni Wabunge, Kaka'ake Alikuwa Ni Mlinzi Wa Mwendazake. Wanatokea KataviMbunge wa Viti Maalum Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Katavi, Mhe. Taska Restituta Mbogo, ametoa wito kwa akina mama nchini kuhakikisha wanaume zao wanaandika majina yao wanapokwenda kununua ardhi ili kuepuka matatizo ya baadaye pindi mmoja wao anapofariki dunia.
Mhe. Restituta ametoa ushauri huo wakati akiwasilisha hoja Bungeni, Dodoma na kueleza kuwa wakina mama huwa wana tabia ya uvivu wakuweka majina yao kwenye ardhi ilihali sheria inaruhusu watu wanawake kumiliki ardhi.
“Ningependa kutoa ushauri wa jumla kwa wakina mama wa Tanzania, waume zetu wanavyonunua ardhi na sisi tuhakikishe majina yetu yanakuwepo pale pembeni, kwasababu wamama wengi wamekuwa wakidhulumiwa nyumba na mashamba,” amesema Mbunge Taska Restituta.
Mbunge huyo ameongeza kusema kuwa, “Tusiwe wavivu kununua viwanja, tusipende kuwatuma akina baba halafu hawaandiki jina lako unakaa pale kwa miaka 40 unaonekana wewe ni mpangaji,” amesema Mhe. Restituta.
Naye Mbunge viti maalum Mhe. Sophia Mwakagenda akitoa taarifa bungeni ameungana na hoja iliyowasilishwa na Mhe. Restituta.
“Mhe. Spika lakini waume hawa wanapoenda kununua viwanja hawatuagi, na wakati mwingine ananunua akiwa amefariki bahati mbaya, unashangaa kumbe wake mko sita wakati unajua uko peke yako,” amesema Mhe. Sophia Mwakagenda.
Inakera Sana mkuu,Yaani wao hawawazi mengine ni kudai mume atakufa mapema kwani wao Mungu
Angesema mali ziandikwe kwa majina ya wanandoo tungeelewa siyo kudai wanaume waandike kigezo wakifa? Amekuwa unguInakera Sana mkuu,
Afu unakuta mtu anaongea akiwa anajiamini utadhani ana appointment na Mungu.
Wakikujibu nitag mkuu.Hivi kwanini kwenye Ndoa WANAWAKE akili zao sikU zote wanawazaga Mwanaume tu ndie atakae tangulia Kufa
Upumbavu Sana huu,Angesema mali ziandikwe kwa majina ya wanandoo tungeelewa siyo kudai wanaume waandike kigezo wakifa? Amekuwa ungu
Leo nilikuwa nafanya research ndogo ya maeneo niliokulia,wababa karibia wote wameshakufa ila wake zao wote wapo hai,hapa nimeangalia familia zaidi ya 20 za majirani zetu,nadhani wanalijua hili kuwa sisi tunatangulia kufa zaidi kuliko wao,ndio maana wanapambana sana inapokuja swala la mali...Hivi kwanini kwenye Ndoa WANAWAKE akili zao sikU zote wanawazaga Mwanaume tu ndie atakae tangulia Kufa
Hakuna guarantee kwamba mwanaume ndo huanza kufa. Hii ni mentality wamejiwekea akilin kua mwanaume ndie huanza kufa.Kimya kimya hadi unakuwa kimya jumla jumla. Sasa hapo mchwa wanakula wewe ukiwa ardhini
Shangingi mdangaji mmoja.Huyu naye vepe
Ova
Hapo sasa 🤣🤣 Yaan hawa viumbe hawa, na wao ndio wasiri wakubwa wa kufanya mamb yao kimya kimya.Je wanawake wanaponunua ardhi bila kuwashirikisha waume zao? huyu asiwe bias
Pole mkuu hawa viumbe wao ndio wabinafs wakubwa mamb yao hua wanafanya kimya kimyaMimi tangu baby mama wangu nilipogundua kanunua kiwanja kwa kunificha na Mali ninazochuma anataka ziwe zetu nimeapa sitomshirikisha mwanamke ktk Mali yangu yoyote.
Na ukitaka kuamini kua hawa viumbe mentality yao ni moja wee mwambie mke wako kwamba.. Hii nyumba nataka tuiuze utasikia... Halafu cku ukifa ntaishije na watoto 🤣🤣🤣🤣Hawa ndio wale wanaolewa wakijua mwanaume atatangulia kufa
Kwenye hii thread ndo utajua nani mke nani mme