Restituta Mbogo: Wakina Mama hakikisheni Wanaume wanaandika majina yenu pindi wanaponunua ardhi

Binafsi yangu mimi huwa siyo muumini wa kuandika jina la Mtoto katika Mali zangu
Mtoto anastahili Malezi bora kutoka kwa wazazi lakini siyo kuandikana katika mali ili iweje kwanza.?
Safi kabisa, kwanza kuandika jina la mtoto ni sawa na kuandika jina la mke maana mtoto ni mali ya mke. Ukitaka kujua tengana na mke wako uone watoto watamfata nani.
 
Safi kabisa, kwanza kuandika jina la mtoto ni sawa na kuandika jina la mke maana mtoto ni mali ya mke. Ukitaka kujua tengana na mke wako uone watoto watamfata nani.
Mzee inategemea na watoto mmewaleaje tu, tulikua watoto na tumekua tumeyaona mkuu. Ni jinsi mtakavyokua mna wa handle watoto
 
Mzee inategemea na watoto mmewaleaje tu, tulikua watoto na tumekua tumeyaona mkuu. Ni jinsi mtakavyokua mna wa handle watoto
Asilimia kubwa wanaume hatuna ukaribu na watoto wetu, hii ni kwasababu ya nature ya familia zetu za kiafrika ambazo baba ndiye mtafutaji na mama anabaki home na watoto. Hata kama mama akiwa mtafutaji bado atatenga muda wa kutosha kukaa na wanae so ushirika wa mama na wanae ni mkubwa sana kulinganisha na wa Baba na wanae. Malezi ni ya mama, Baba ni muwezeshaji tu.
 
Back
Top Bottom