BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 2,687
- 6,428
Alie kuwa waziri wa Fedha na alie kuwa katibu mkuu Wizara ya Fedha, hawa mpaka sasa walipaswa kuwa wako ndani, sema kwa mfumo wa CCM hawa ni wazalendo, hawa ni wafia chama so lazima walindwe kwa vyovyote vile.
Ila bila kuanza na hawa hakuna haja ya kugusa hao wa chini na vita yoyote ya kupambana na Ufisadi haitakuwa na maana endapo hawa wawili wataachwa watambe, Mwenzao mmoja alisha Tangulia ambaye ndio alikuwa anawatuma,
Philip Mpango anaujua fika huu upigaji wa aamue yake na Mwendazake
Ila bila kuanza na hawa hakuna haja ya kugusa hao wa chini na vita yoyote ya kupambana na Ufisadi haitakuwa na maana endapo hawa wawili wataachwa watambe, Mwenzao mmoja alisha Tangulia ambaye ndio alikuwa anawatuma,
Philip Mpango anaujua fika huu upigaji wa aamue yake na Mwendazake