Alex Fredrick
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 679
- 1,337
Week yote hii tunaona kila uchao habari ni CAG na Speaker ndio zimepamba moto karibu magazeti na mitandao ya kijamii.
Naamini baada ya report ya CAG kuwasilishwa Bungeni na hatimaye Bunge na kamati zake kufanyia kazi ndio tunaweza kuliongelea hili kwa ufasaha.
Kwa sasa Mh Rais John Magufuli ni wakati wa kuchapa kazi kwa maana Watanzania wanashauku kubwa ya maendeleo kama afya, elimu,maji ,miundombinu nazaidi usimamizi wa rasilimali zao
Narudia haya ya CAG tusubiri Bunge na kamati yake tunaweza kupanua mjadala
La mwisho kama kuna ubadhirifu wowote ule na hatimaye Bunge nalo likajiridhisha basi naamini Rais Magufuli atachukua hatua kali kwa wabadhilifu wote wa mali za umma
Alex Fredrick
Dar es salaam
Sent using Jamii Forums mobile app
Naamini baada ya report ya CAG kuwasilishwa Bungeni na hatimaye Bunge na kamati zake kufanyia kazi ndio tunaweza kuliongelea hili kwa ufasaha.
Kwa sasa Mh Rais John Magufuli ni wakati wa kuchapa kazi kwa maana Watanzania wanashauku kubwa ya maendeleo kama afya, elimu,maji ,miundombinu nazaidi usimamizi wa rasilimali zao
Narudia haya ya CAG tusubiri Bunge na kamati yake tunaweza kupanua mjadala
La mwisho kama kuna ubadhirifu wowote ule na hatimaye Bunge nalo likajiridhisha basi naamini Rais Magufuli atachukua hatua kali kwa wabadhilifu wote wa mali za umma
Alex Fredrick
Dar es salaam
Sent using Jamii Forums mobile app