nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,769
Alitishia walimu kwamba wasipoisapoti ccm watapewa kesi za ubakaji au uhujumu uchumi,hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa juu yake bado anadunda mtaani na bila shaka atakuwa yupo busy kutafutwa walimu wa kuwabambikia hizo kesi
Halafu mnasema hii nchi bado inafata sheria?be srious basi nyie watu
Halafu mnasema hii nchi bado inafata sheria?be srious basi nyie watu