akelu kungisi
Senior Member
- Apr 2, 2012
- 115
- 19
- Thread starter
- #21
Ok, ni nakubaliana nanyi kuwa alishindwa katika uchaguzi wa ndani ya chama cha magamba kule songea. Tuelewe kuwa siku zote magamba wanayapenda makapi kuliko cream!
Kitu kingine amabacho tunapashwa kufahamu kuhusu huyu mzee ni namna alivyojitambulisha kwa Watanzania, sampuli ya watu kama yeye ni vigumu mno kuishi na magamba au kupenya katika nafasi za uongozi!
Kwa tabia zake, weledi wake, hulka yake ni TRADE MARK ya Chadema, hili tulikubali waungwana, mawazo yake yanatakiwa ayatoe katika mfumo sahihi wa kisheria ambao ni bunge, naam CHADEMA watakuwa wameongeza ufito mwingine wa kuwararia magamba!
Kitu kingine amabacho tunapashwa kufahamu kuhusu huyu mzee ni namna alivyojitambulisha kwa Watanzania, sampuli ya watu kama yeye ni vigumu mno kuishi na magamba au kupenya katika nafasi za uongozi!
Kwa tabia zake, weledi wake, hulka yake ni TRADE MARK ya Chadema, hili tulikubali waungwana, mawazo yake yanatakiwa ayatoe katika mfumo sahihi wa kisheria ambao ni bunge, naam CHADEMA watakuwa wameongeza ufito mwingine wa kuwararia magamba!