Wataalamu wa mambo wanasema Tyson hakuwa kwenye his prime
Acha umbea dogoMkiambiwa haya mapambano yanatengenezwa watu wanasema sisi waswahili
Punguza umbea bwana mdogo hujui ndondi kaa kimyaMi nilisema joshua hii mechi kauza ili apate rematch apige mpunga zaidi
Umbea utakuua dogo.kachambue mchele achana na masumbwiBoxing sikuhizi umekua mchezo wa kidranzi sana..yani matokeo yanapangwa nje ya ringi ili watu wapige pesa...aj mechi ya mwanzo aliuza!!
Punguza mahaba.Lennox sio amigo Andy Ruiz juniaKwa wale ambao ni wachanga ktk game ya boxing let me tell you that on April 21 2001 Lenox Lewis was knocked out by underdog Hasim Rahman in south Africa... Kumbuka kabla ya pambano hilo Lewis alitoka kumpiga evender hollyfield... Wengi walishangilia jinsi lenox Lewis alivyopigwa kwa KO na Rahman pale South Africa kama jinsi watu wanavyoshangilia Leo AJ alivyokalishwa na Andy Ruiz...hahahaa.. Ngoja niwaambie nini kilitokea kwenye marudiano ya Lenox Lewis na Hasim Rahman... Lenox alimpiga vibaya Hasim Rahman kwenye round ya 4 tuu Kijana chalii ilikuwa ni November 2011...hahahaa The same is going to happen in a rematch between AJ vs Ruiz... Let's wait and see
Namaanisha aj huwezi mfananisha na Lennox.mtake radhi huyu mwambaPunguza mahaba.Lennox sio amigo Andy Ruiz junia
Acha umbea dogo
Huk kwetu itakuwa saa tano na nus usikuPambano sa ngapi,?