kichwat
JF-Expert Member
- Mar 4, 2010
- 1,819
- 587
Wananchi na wafanyabiashara tunalia juu ya HUJUMA zinazoendelea kudhoofisha ufanisi wa reli zetu. Lakini huu sasa si wakati wa kuendelea kulia tu. Machozi yakauke, tuchukue hatua za kushinikiza urejeshwaji wa reli ili kufufua uchumi, na msongamano wa maroli barabarani.
Usafirishaji wa reli una faida za wazi kabisa:
1. Kupunguza gharama za usafirishaji (kupunguza bei za bidhaa na kuongeza mauzo na faida)
2. Kuharakisha bulk transportation.
3. Kupunguza msongamano wa magari makubwa barabarani (kupunguza ajali, kuharakisha safari za watumiaji wengine wa barabara)
4. Kuhamasisha shughuli za uchumi, uzalishaji na ajira, ktk njia za reli
Usafirishaji wa reli una faida za wazi kabisa:
1. Kupunguza gharama za usafirishaji (kupunguza bei za bidhaa na kuongeza mauzo na faida)
2. Kuharakisha bulk transportation.
3. Kupunguza msongamano wa magari makubwa barabarani (kupunguza ajali, kuharakisha safari za watumiaji wengine wa barabara)
4. Kuhamasisha shughuli za uchumi, uzalishaji na ajira, ktk njia za reli