idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,312
Lizaboni kada mwenzangu..ni mafanikio ndio lakini ujue ni deni hilo linaongezeka na huwa na riba kubwa tuu..anyway ngoja tufurahii
Tatizo sio deni.... tatizo kubwa tulilokuwa nalo ni hiyo mikopo kuishia mikononi mwa wachache.....
Kama mtu unachukua mkopo bank halafu kituo cha kwa baa,kwa nini usione mkopo mbaya.!