Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 20,663
- 20,418
Mama yupi kati ya wale?...
4 Rais aliyeendesha kampeni kwa staili BMW. Baba Mama na watoto ( Rizwani na Miraji.)
Mama yupi kati ya wale?...
4 Rais aliyeendesha kampeni kwa staili BMW. Baba Mama na watoto ( Rizwani na Miraji.)
Mama yupi kati ya wale?
21. raisi aliyepewa ulinzi wa majini yamulinde!!!!!!!!!!!!!!!
Hakuna immateriality, labda wewe una matatizo ya uelewa....... THSE RECORDS SPEAK FOR THEMSELVESDuh!! hao hdio wajumbe wa NEC ya....
Are you that immaterial? Try to use numbers next time,they make more sense!
Hahahaha!22. rais aliyewaingiza mjini TUCTA na mashirikisho mengine ya wafanyakazi mishahara imepanda kumbe lilikuwa changa la macho kupata mwaliko mei mosi
tatizo la wakaskazini huwa hamuuoni ukweli kama CCM KILIPIGIWA KAMPENI NA WATU WATATU TU AMBAO UNASEMA BMW-HUONI IKITOKEA KIKASIMAMA NA MAKADA WOTE KINAWEZA KUKUMAZIA MBALI ICHO CHAMA CHA WACHAGA NA WAARUSHA? THINK TWICE UNATUMIA NGUVU NYINGI KUANDIKA VITU AMBAVYO HAVIJAENDA SHULE KABISA,NA MTANGOJA MILELE
31. Raisi aliyehudhuria mazishi nyingi kuliko wote waliomtangulia.
32. Raisi aliyekwenda kubembea Jamaica kwa fedha za walipa kodi.
33. Raisi mcheza kiduku.
34. Raisi aliyekwenda kuuza sura na Boyz II Men
35. Raisi mwenye visasi (Babu Seya,Prof. Mahalu...)
mbona unajichanganya eti raisi alieshnda kwa 80%, mara raisi aliechakachua hii inaonesha ni jinsi gani mlivo na uchu na huo urais...haya bwana ngoja nisubiri elimu na matibabu bure...2015 c mbali
Mi sijaona vitu ambavyo havijaenda shule hapo maana yaliyoandikwa Na. 1- 20 yako wazi na yanaonekana. Halafu mimi si mchagga kama wengi walivyo,lakini ni mshabiki na mwanachama wa CHADEMA. Au unataka kutuambia umati wooote unaofurika kuwasikiliza makamanda wa CHADEMA Mwanza, Shinyanga, Musoma, Mbeya, Songea, Bukoba, Chatto n.k ni wachagga? Acha ubabaishaji wewe.tatizo la wakaskazini huwa hamuuoni ukweli kama CCM KILIPIGIWA KAMPENI NA WATU WATATU TU AMBAO UNASEMA BMW-HUONI IKITOKEA KIKASIMAMA NA MAKADA WOTE KINAWEZA KUKUMAZIA MBALI ICHO CHAMA CHA WACHAGA NA WAARUSHA? THINK TWICE UNATUMIA NGUVU NYINGI KUANDIKA VITU AMBAVYO HAVIJAENDA SHULE KABISA,NA MTANGOJA MILELE