REKODI: Jezi mpya za Yanga zaidi ya Milioni 1 zanunuliwa ndani ya masaa 6 tangu zilipozinduliwa

50945630-326C-4523-BD0D-A30CD79A4E20.jpeg
 
Mi yanga lia Lia ....lakin kuamin tumeuza jezi milioni moja sio kweli ...pic miliona moja sio mchezo!! Ukizingatia sis tunategemea local market pekee ..... just imagine Liverpool timu ambayo inauza worldwide jezi zake msimu wa mwaka Jana ndo waliongoza kuuza jezi kwa ngazi ya vilabu ulimwenguni ndo waliuza pic milioni 1...Sasa sis wananchi ndani ya siku mbili tuuze nakala milioni!?...sio kweli ...ingkuwa hivyo makampumi makubwa like Nike na Adidas wangkuwa wanapishana korido za jangwani pale kugombea tender ya kutengneza jezi zetu
 
Mi yanga lia Lia ....lakin kuamin tumeuza jezi milioni moja sio kweli ...pic miliona moja sio mchezo!! Ukizingatia sis tunategemea local market pekee ..... just imagine Liverpool timu ambayo inauza worldwide jezi zake msimu wa mwaka Jana ndo waliongoza kuuza jezi kwa ngazi ya vilabu ulimwenguni ndo waliuza pic milioni 1...Sasa sis wananchi ndani ya siku mbili tuuze nakala milioni!?...sio kweli ...ingkuwa hivyo makampumi makubwa like Nike na Adidas wangkuwa wanapishana korido za jangwani pale kugombea tender ya kutengneza jezi zetu
Kolo kama kolo kwenye ubora wako.
 
Shida hutaki kufikilisha akili yako......na hiyo comment yako ya tusi ...inaonyesha kias gani huwez kujenga hoja .....
 
Masikini zake mbwembwe ili aonekane nae yumo! SIMBA ilishatoka huko kitambo! Tunajua Manara kaenda utopolo kwa makubaliano ya pande zote mbili lengo kuwa boost warudi kwenye ramani ya soka!

Ukizingatia waswahili ndio mambo wanayopenda kusikia basi hakuna tena kuhoji kuhusu makombe,kama hivi mnaletewa sijui mwanamuziki gani basi mnafurahiii wenyewe..tukija kwenye ligi mnaanza kulalamika.
 
Habari za hivi punde ni kwamba jezi mpya zaidi ya Milioni 1 za klabu ya Yanga zimenunuliwa ndani ya masaa 6 tu tangu kuzinduliwa kwake.

Eng. Hersi amethibitisha rekodi hii iliyowekwa na timu ya wananchi na kushangazwa na mapokeo makubwa ya jezi hizo mpya.

Jezi hizo zinauzwa Tshs. 28,000/= kwa bei ya jumla na Tshs. 35,000/= kwa bei ya rejareja.

Hii ndio maana halisi ya timu ya wananchi, wawekezaji ni wananchi.
Yanga wanapata 1300/ shillings tu..kati ya kila mauzo ya jezi moja.


Aibu nimeona Mimi
 
Back
Top Bottom