Kitimoto
JF-Expert Member
- Aug 25, 2012
- 4,815
- 4,388
Mwacheni kumsema Boss Mo kwa hoja ambazo ni za msingi, mnataka atususie timu?Wivuuuu , tunataka Taarifa ya mapato na matumizi ya Club ya Simba.Taasisi gani Haina Taarifa za fedha,kaeni chonjo mtafakari ndiyo maana mashabiki wa Simba mnaitwa Mambumbumbu hamtafakari wala kuhoji yanayoendelea kwenye Club yenu nyie kila kitu anafanya Muhindi na familia yake.Njaa yenu na umasikini wenu umepitiliza mpaka umewahondoa ufahamu mnaburuzwa kama mkokoteni.Mashabiki wa Makolokolo FC ,Mbumbumbu FC,Kanjubari FC, Mjitafakari sana
Tutaficha wapi sura zetu.