Rekodi: Chini ya Trump, Nusu ya Viongozi wa Baraza la Usalama la Kitaifa ni Wanawake

Sexer

JF-Expert Member
Oct 22, 2014
8,215
7,906
Kwa mara ya kwanza katika historia, nusu ya viongozi wakuu wa Baraza la Usalama la Kitaifa (national security council) nchini Marekani ni wanawake. Idara 12 kati ya 24 zinaongozwa na wanawake sasa, hii pia inajumuisha idara tatu kati ya sita ambazo zinashughulikia masuala ya dunia nzima.
 
Kwa mara ya kwanza katika historia, nusu ya viongozi wakuu wa Baraza la Usalama la Kitaifa (national security council) nchini Marekani ni wanawake. Idara 12 kati ya 24 zinaongozwa na wanawake sasa, hii pia inajumuisha idara tatu kati ya sita ambazo zinashughulikia masuala ya dunia nzima.
... Trump anajitahidi sana kuondoa ubaguzi US; angalau kwa idara zilizotajwa hapo unaona kabisa gender balance. Sasa wale wengine wanawake wameruhusiwa kuendesha magari kuanzia jana wakija hapa watamtukana na kumlaani Trump "in strongest terms possible" kwa ubaguzi wake.
 
... Trump anajitahidi sana kuondoa ubaguzi US; angalau kwa idara zilizotajwa hapo unaona kabisa gender balance. Sasa wale wengine wanawake wameruhusiwa kuendesha magari kuanzia jana wakija hapa watamtukana na kumlaani Trump "in strongest terms possible" kwa ubaguzi wake.

Mnaona sasa mnapofeli ulitaka nchi iso na demokrasia kama saudia ifanye kama wanayofanya US

Mnakwamia wapi vijana ?!...
 
Dah Uzuri kwamba sina mambo yakumaind hovyo mkuu sababu naelewa nanapenda sana matani


Nandio maana nime anza na emoji zakucheka hapo juu

Ila usiwaze BOSS.....
Mkuu, unatoa maoni gani kwa mujibu wa mada hii?
 
... Trump anajitahidi sana kuondoa ubaguzi US; angalau kwa idara zilizotajwa hapo unaona kabisa gender balance. Sasa wale wengine wanawake wameruhusiwa kuendesha magari kuanzia jana wakija hapa watamtukana na kumlaani Trump "in strongest terms possible" kwa ubaguzi wake.
Rekodi hazidanganyi mkuu, wapingaji hawana rekodi hupinga kwa blah! blah! tu.
 
Kwa mara ya kwanza katika historia, nusu ya viongozi wakuu wa Baraza la Usalama la Kitaifa (national security council) nchini Marekani ni wanawake. Idara 12 kati ya 24 zinaongozwa na wanawake sasa, hii pia inajumuisha idara tatu kati ya sita ambazo zinashughulikia masuala ya dunia nzima.
Taifa linayumba kuliko wakati wowote ule
 
Back
Top Bottom