keki ya harusi
JF-Expert Member
- Jul 23, 2017
- 271
- 430
Sodoka upoo sasa legend kuna dogo anataka kuapply upya vyuo gani Vyuo waziitakuwa alidisco huyu jamaa aseme tu ukweli
Sodoka upoo sasa legend kuna dogo anataka kuapply upya vyuo gani Vyuo waziitakuwa alidisco huyu jamaa aseme tu ukweli
Wewe kama mimi ,nipo dar kesho naamkia TCU
Hongera mkuuI've cleared already
na kwenye akaunt yako yametoka hayo maneno ya remarks: continuing student?I've cleared already
Where did u check??I've cleared already
Hivi ndivyo baadhi ya watanzania tulivyo. Tunafanya jambo la ovyo wenyewe halafu rungu la lawama tunawaangushia watu wengine. Si ajabu hata bodi ya mikopo walikupa hela ukazila na hukuenda chuo. Utalalamika tu kuwa umenyimwa mkopo sasa.Niliacha kimyakimya mkuu ,nikajua watanifuta kwasababu sijaripot
Huku hakuna update yoyote bado vyuma vimekazaWadau mmefikia wapi mlioko huko dar
Sysytem haikufuti bro nenda DIT chukua barua ya uthiibitisho kuwa hukuripot huko then peleka tcu mie nilifanya hivo mwaka 2015Niliacha kimyakimya mkuu ,nikajua watanifuta kwasababu sijaripot