"Rejected by TCU , reason continuing student "

Hiki kitu(Not aproved because of..) Mnaandikiwa wapi?Mbona kuna watu wenye Case kama ya kwenu hawajaandikiwa?.Hebu kuweni wazi Vijana...
 
Screenshot_20171006-011159.png
 
Niliacha kimyakimya mkuu ,nikajua watanifuta kwasababu sijaripot
Hivi ndivyo baadhi ya watanzania tulivyo. Tunafanya jambo la ovyo wenyewe halafu rungu la lawama tunawaangushia watu wengine. Si ajabu hata bodi ya mikopo walikupa hela ukazila na hukuenda chuo. Utalalamika tu kuwa umenyimwa mkopo sasa.
 
Back
Top Bottom