Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 13,550
- 16,631
Haina nomaSina stress mkuu Ila ninachokiongea ni kweli
Haina nomaSina stress mkuu Ila ninachokiongea ni kweli
hata kabla haujaenda mbali ulitakiwa kujiuliza je ni kweli mwanadamu anaroho..?
ulishawahi kuiona au kuihisi kwa namna yoyote ile..?
Hahahah....Leader flani hivi eastern au south europe maana nnavutiwa na kila kitu chao japokuwa sijawahi kufika mkuu...kwa unavyojiona wewe ulikuwa nani mkuu? maana naona ushekem ndani yako
hahahaha sio shekemu?Aaaah......
Hahahah....Leader flani hivi eastern au south europe maana nnavutiwa na kila kitu chao japokuwa sijawahi kufika mkuu...
Kweli kabisa...na tunaziita birth marksWengine huwa wanazaliwa tena na hata kovu alikuwa nalo mtu alifariki. Linakuwa hivyo hivyo papo hapo.
Hata Jf intelligence nako kuna uchama? Ni shida sana.Thibitisha tulione na ilo kovu hapa
Hatutaki uongo wa huko UVCCM
Mnaboa! Ingekuwa vyema sana watu tukaeshimu majukwaa, ndio concept ya kutenganishwa kwa majukwaa nadhani. Ukijiona hukidhi jukwaa fulani unajitoa tu.Lesbian mwenzako yule
achana nae huyo hana jema lolote kwako dada.kuwa mstaarabu tu.Naona hayo yako unanisakizia mimi.
Jiheshimu
Maisha kama yanakupiga na yakupige vizuri tu.
Mkuu roho ipp ndo maana kitu kama Astral projection au out-of-body experience vinawezekana.bila kuwa na roho isinge wezekana mkuuKabla ya kwenda huko kwenye roho kurudi, thibitisha kwamba roho ipo at all.
Mkuu huwa sina kawaida ya kubishana kwa kitu ambacho nina japo chembe ya ukweli.. ukipata Muda kasome Luka 1: 17 .. Yohana alimtangulia Bwana Yesu akitenda kazi kwa roho ya Nabii Eliya.!Kwani Nabii Elia alikufa!?..huu uongo naweza pata nukuu yake kwenye biblia!.
Kuwa open minded chief...hiyo ni siri ua ma freemason ili kuwaaminisha wajinga wanaeza kupanda daraja na kuwa na uwezo kama malaiks au mapepo..hii ilianza na charles darwin kuwaa.inisha watu kuwa tulitokea kwa masokwe kitu ambacho siyo kweli.hii ilitumika kama base ya uongo wao huo wa kwamba mtu huweza kutoka katika hali ya ubinadamu wa kawaida na kuwa kiumbe wasiokufa haraka na wenye uwezo mkubwa
mfano wa hizi vitu viko ata kwenye movies za vampires na mazombi..hawa ma vampire huwa ni majini kiuhalisia
Sasa kunawatu watkwambia majini kaombewe sijui nini wakati nipart (sehemu) yako mwenyewe.kila mtu anakuja duniani katika sekunde yake akiwa na mission yake (jukumu).wote hatutakiwi kuwa sawa na ndo uzuri wake upo hapo (beauty of being human).huwezi kupigana na nafsi yako (u cant fight ur self ) au utajiumiza sana bure.kubali na enjoy kufikiria hvyo kwasababu siyo kila mtu anabahati ya kukumbuka mkuu...natamanihili jambo lina ukweli ndani yake maana mi mwenyewe kuna wakati najikuta nakumbuka vitu nisivyo vielewa yani huwa sielewi kabia ni nini, maana nahisi kama niliwahi kuwepo zamani kabisa.
Nawezaje kujua kama roho ya mtu fulan aliekufa ipo kwa mtu mwingine hata hayo makovuWengine huwa wanazaliwa tena na hata kovu alikuwa nalo mtu alifariki. Linakuwa hivyo hivyo papo hapo.
Nawezaje kujua kama roho ya mtu fulan aliekufa ipo kwa mtu mwingine hata hayo makovu
Hapo nimekuelewaNachofahamu ni watu au niseme ndugu ndio wanamuona mzaliwa akiwa na mengi kama alivyokuwa aliyefariki.. wengine hadi tabia, uongeaji n.k
Labda nimuite kaka mpendwa, lovely man @mshana jr atufafanulie
Kitu usichokijua hakiwezi kikakutisha.lakini kujua kitu si lazma ukione.hata ukisikia kitakupa mwanga au hofu ya hiko kitu.Kuwa open minded chief...
Babu zako waliwaona wazungu miungu kisa wana baiskeli, ungekuwa wao ukaambiwa kuhusu Antonov yenye tani 640 kupaa angani, au meli ya CSCL Globe ambayo inabeba 20ft kontena 19100 ungeongelea ma freemasons au ungemuongelea shetani menyewe??
Usiogope kitu ambacho hukielewi au hukifahamu mkuu
Mkuu ulikuwa upande upi??...Sure hata mimi hii ni second time naishi duniani fist time nimeishi Germany kile kipindi cha Naszim