emmarki
JF-Expert Member
- Nov 22, 2012
- 682
- 918
Katika kuomba kazi zilizotangazwa na Tamisemi kuna kipengele cha kujaza namba ya usajili wa chuo. Mhusika alisoma chuo cha Tumaini University-Iringa baadaye chuo kikajitegemea kikawa University of Iringa (Uol).
Changamoto kwenye machaguo hakipo, naomba kama umepitia hiki chuo na umeomba kazi za afya umefanikiwa vipi.
Ahsante
Changamoto kwenye machaguo hakipo, naomba kama umepitia hiki chuo na umeomba kazi za afya umefanikiwa vipi.
Ahsante