Registering a New Company and Class A permit

Lemunyake

Senior Member
Sep 24, 2007
189
28
Naombeni ushauri wenu wana sheria. If I want kufungua a new company with a foreigner , kawaida step ya kwanza ni Kuregister Jina la Kampuni . Kwenye form ya kuapply for jina la kampuni , you need to write the names of Partners/Directors in the company . Sasa nimesikia that if you have a foreigner in the list lazima uambatanishe Residence Permit Class A. Sasa swali langu ni , Kampuni bado haijawa registered , hata JINA la kampuni bado , how do you apply for a Class A? Under which company's name ? Ningedhani kwamba the Name can be registered , then at the time of getting Business licence ndo wahakiki kwamba huyo Foreign Investor / Partner and Class A? Naombeni ufafanuzi!!
 
Talk na watu wa uhamiaji kwanza ili kujua what level ya permit inatakiwa. Pia cheki na watu wa TIC (investment). lengo ni kutokuwa na makampuni ya kisanii ambayo yanafanya biashara zinazoweza kufanywa na locals.

If i had more time i could explain but commmon sense inanionyesha kuwa hujafika BRELLA wala TIC so inakuwa ngumu kidogo kukupa mwanga. Unaweza pia ukaanza na websites zao.

Naombeni ushauri wenu wana sheria. If I want kufungua a new company with a foreigner , kawaida step ya kwanza ni Kuregister Jina la Kampuni . Kwenye form ya kuapply for jina la kampuni , you need to write the names of Partners/Directors in the company . Sasa nimesikia that if you have a foreigner in the list lazima uambatanishe Residence Permit Class A. Sasa swali langu ni , Kampuni bado haijawa registered , hata JINA la kampuni bado , how do you apply for a Class A? Under which company's name ? Ningedhani kwamba the Name can be registered , then at the time of getting Business licence ndo wahakiki kwamba huyo Foreign Investor / Partner and Class A? Naombeni ufafanuzi!!
 
Actually nimeenda BRELA Kuregister jina la Kampuni and this is what i was told.
 
unachotakiwa ni hivi
1.unaenda Brela na Memart ya kufungua kampuni ukiwa umeshajaza form zote na kuzisaini na huyo partner wako mgeni.yeye mgeni atatumia passport yake yenye visa alali ya tanzania ,ni nzuri kama ameingia na bizness visa.
2.after getting company reg certficates and leseni (pia leseni unatumia passport yake)
3.ndio utaenda uhamiaji kumwombea class A or B any.
iwapo utaitaji msaada wa kusajiri kampuni nnaweza kukusaidia,kwa mimi itakuchukuwa atleast 15 days kuwa na full legal company +class A ya huyo mgeni wako ni PM for more info
 
Go to TIC and every thing will be cleared. You don't need a consultation fee for that, I think. Or you could check their contantacts as the other friend suggests above and communicate with them straight away. Kila lakheri ktk kuanzisha kampuni mkuu, nasi tupo nyuma tunachechemea.
 
Back
Top Bottom