Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,035
- 6,905
Habari zenu wadau!
Mwaka 2020 tulitangaziwa Tanzania kusajiliwa kuwa miongoni mwa nchi ambazo wananchi wake wamefikia kiwango cha Uchumi wa Kati wa chini yaani Lower Middle Income Country.
Hesabu hiyo huwa inazingatia GNI per Capita Income ambayo ina range Kati ya $1'036-$4,045 ,,ambapo kwa Tanzania hapa ni mikoa michache Sana ambayo wananchi wake ndio wako Uchumi wa Kati,yaani wenye kipato kuanzia milioni 3 kwenda juu.
Ifuatayo ni orodha ya mikoa 7 ambayo wananchi wake Wana mapato yaliyofikia hicho kigezo cha Uchumi wa Kati, pato la kila mwananchi kwenye mkoa husika limeanishwa.
Regional Per Capita GDP at Current Market Prices,Tanzania Mainland, financial year 2019.Figures in Million TZS
1. Dar es Salaam (4,529,876)
2. Iringa (3,868,283)
3. Mbeya (3,675,999)
4. Kilimanjaro (3,302,915)
5. Ruvuma (3,288,252)
6. Arusha (3,198,260)
7. Njombe (3,073,361)
Sambamba na hiyo kuna Mikoa 5 iliyopo mkiani ambayo hali ya vipato kwa wananchi wake ni mbaya sana,mikoa hiyo ni;
1. Shinyanga (1,857,610)
2. Tabora (1,740,554)
3. Dodoma (1,677,901)
4. Singida (1,578,040)
5. Kagera (1,143,992)
MY TAKE;
Hongera Sana wachapa Kazi wa Nyanda za Juu Kusini.
ANGALIZO,
Kwa kweli hali za sisi wananchi ni mbaya, Serikali ijitahidi kuwekeza kwenye uchumi wa watu la sivyo tunakoelekea hali itazidi kuwa mbaya maana na kasi ya kuzaliana ni kubwa mno. Ikumbukwe Tanzania ni kati ya nchi 5 zenye idadi kubwa ya watu na pia zenye idadi kubwa ya maskini barani Afrika.
SOURCE-TANZANIA IN FIGURES 2019.(pg 50-53)
CREDITS-National Bureau of statistics,Ministry of Finance and planning, 2020.
View attachment 1773908
Mwaka 2020 tulitangaziwa Tanzania kusajiliwa kuwa miongoni mwa nchi ambazo wananchi wake wamefikia kiwango cha Uchumi wa Kati wa chini yaani Lower Middle Income Country.
Hesabu hiyo huwa inazingatia GNI per Capita Income ambayo ina range Kati ya $1'036-$4,045 ,,ambapo kwa Tanzania hapa ni mikoa michache Sana ambayo wananchi wake ndio wako Uchumi wa Kati,yaani wenye kipato kuanzia milioni 3 kwenda juu.
Ifuatayo ni orodha ya mikoa 7 ambayo wananchi wake Wana mapato yaliyofikia hicho kigezo cha Uchumi wa Kati, pato la kila mwananchi kwenye mkoa husika limeanishwa.
Regional Per Capita GDP at Current Market Prices,Tanzania Mainland, financial year 2019.Figures in Million TZS
1. Dar es Salaam (4,529,876)
2. Iringa (3,868,283)
3. Mbeya (3,675,999)
4. Kilimanjaro (3,302,915)
5. Ruvuma (3,288,252)
6. Arusha (3,198,260)
7. Njombe (3,073,361)
Sambamba na hiyo kuna Mikoa 5 iliyopo mkiani ambayo hali ya vipato kwa wananchi wake ni mbaya sana,mikoa hiyo ni;
1. Shinyanga (1,857,610)
2. Tabora (1,740,554)
3. Dodoma (1,677,901)
4. Singida (1,578,040)
5. Kagera (1,143,992)
MY TAKE;
Hongera Sana wachapa Kazi wa Nyanda za Juu Kusini.
ANGALIZO,
Kwa kweli hali za sisi wananchi ni mbaya, Serikali ijitahidi kuwekeza kwenye uchumi wa watu la sivyo tunakoelekea hali itazidi kuwa mbaya maana na kasi ya kuzaliana ni kubwa mno. Ikumbukwe Tanzania ni kati ya nchi 5 zenye idadi kubwa ya watu na pia zenye idadi kubwa ya maskini barani Afrika.
SOURCE-TANZANIA IN FIGURES 2019.(pg 50-53)
CREDITS-National Bureau of statistics,Ministry of Finance and planning, 2020.
View attachment 1773908