Uncle Rukus
JF-Expert Member
- Jun 16, 2010
- 2,415
- 398
Aisee Pasco nadhani una lako jambo..Jinsi unavyo muongelea huyu mzee inaleta hisia hisia za kutaka kutufanya tuone kama vile umetumwa au kwa njia moja au ingine utakuwa kwenye mtandao fulani fulani hivi na kama si kwamba upo karibu nae au huenda unafuatilia mambo yek kwa ukaribu...Kweli endelea ndugu...!
Sio mchezo ndugu yangu, kutoka Samaki Hadi Afrikana sio mchezo kuna mabadiliko makubwa ati!!!!!!!!!!!