Reginald Mengi na Utawala wa Rais Magufuli

MsemajiUkweli

JF-Expert Member
Jul 5, 2012
13,172
23,975
IppMedia ni kipimo halisia katika kufahamu ukweli wa mahusiano ya Reginald Mengi na watawala wa Tanzania.

Tarehe 3 Desemba 2015 ilikuwa ni siku ambayo ilibadilisha mahusiano ya Reginald Mengi na watawala wa Tanzania. Hii ilikuwa ni siku ambayo Rais Magufuli alikutana kwa mara ya kwanza na wadau kutoka Taasisi ya Sekta Binafsi (TPSF) chini ya Mwenyekiti wake Reginald Mengi, jijini Dar es Salaam ambapo walijadili umuhimu wa sekta binafsi katika kukuza uchumi na wajibu wa Serikali kutengeneza mazingira wezeshi.

Ikumbukwe kuwa katika kampeni za Uchaguzi Mkuu 2015, IppMedia ilikuwa kwa uhalisia inapigia chapuo UKAWA.

Sifahamu ni masuala gani Rais Magufuli na Mzee Mengi waliongea na kukubaliana lakini ninachofahamu ni kuwa, siku hiyo ilikuwa ni mwanzo wa IppMedia kubadilisha mahusiano na mtazamo wa habari kuhusu serikali ya Awamu ya Tano.

Kwa sasa huwezi kusoma habari kutoka IppMedia ambayo ni hasi kuhusiana na serikali ya Awamu ya Tano.

Kwa sasa huwezi kuona habari ya mtu au mwanasiasa anayemponda Rais Magufuli ikiandikwa au kutangazwa kwenye IppMedia.

Mahusiano ya karibu kati ya Mzee Mengi na Rais Magufuli yamefanya hata Prof. Muhongo kubadilika. Ikumbukwe Mzee Mengi na Prof. Muhongo walikuwa mahasimu katika utawala wa awamu ya nne.

Mzee Mengi is putting his money where his mouth is by dissociating from Pres Magufuli’s critic, haters and losers.

Kama mazingira yataendelea kama yalivyo, kuna uwezekano mkubwa wa Mzee Mengi kunufaika sana na utawala wa Awamu ya Tano.
 
Hata Mbowe naye ana uhusiano mzuri tu!! Itakuwa Mengi na rais?
C'mon Man,in the same way walanguzi wa sukari wamenufaika zaidi na utawala huu wa mwendo kasi,japo kimtazamo ni kama hawana uhusiano mzuri,maana awali waliuza sukari sh 2000 @kg, sasa hivi wanauza kati ya 2500 na 5000!! kwa hiyo kunufaika kibiashara ni tofauti na kunufaika kimahaba,biashara ni Timing
 
IppMedia ni kipimo halisia katika kufahamu ukweli wa mahusiano ya Reginald Mengi na watawala wa Tanzania.

Tarehe 3 Desemba 2015 ilikuwa ni siku ambayo ilibadilisha mahusiano ya Reginald Mengi na watawala wa Tanzania. Hii ilikuwa ni siku ambayo Rais Magufuli alikutana kwa mara ya kwanza na wadau kutoka Taasisi ya Sekta Binafsi (TPSF) chini ya Mwenyekiti wake Reginald Mengi, jijini Dar es Salaam ambapo walijadili umuhimu wa sekta binafsi katika kukuza uchumi na wajibu wa Serikali kutengeneza mazingira wezeshi.

Ikumbukwe kuwa katika kampeni za Uchaguzi Mkuu 2015, IppMedia ilikuwa kwa uhalisia inapigia chapuo UKAWA.

Sifahamu ni masuala gani Rais Magufuli na Mzee Mengi waliongea na kukubaliana lakini ninachofahamu ni kuwa, siku hiyo ilikuwa ni mwanzo wa IppMedia kubadilisha mahusiano na mtazamo wa habari kuhusu serikali ya Awamu ya Tano.

Kwa sasa huwezi kusoma habari kutoka IppMedia ambayo ni hasi kuhusiana na serikali ya Awamu ya Tano.

Kwa sasa huwezi kuona habari ya mtu au mwanasiasa anayemponda Rais Magufuli ikiandikwa au kutangazwa kwenye IppMedia.

Mahusiano ya karibu kati ya Mzee Mengi na Rais Magufuli yamefanya hata Prof. Muhongo kubadilika. Ikumbukwe Mzee Mengi na Prof. Muhongo walikuwa mahasimu katika utawala wa awamu ya nne.

Mzee Mengi is putting his money where his mouth is by dissociating from Pres Magufuli’s haters and losers.

Kama mazingira yataendelea kama yalivyo, kuna uwezekano mkubwa wa Mzee Mengi kunufaika sana na utawala wa Awamu ya Tano.
Mengi huwa analia lian na public sympathy sana! Amepata sasa pa kijichomeka, tunamtakia heri
 
Hata Mbowe naye ana uhusiano mzuri tu na Dikteta uchwara!! Itakuwa Mengi na rais?
C'mon Man,in the same way walanguzi wa sukari wamenufaika zaidi na utawala huu wa mwendo kasi,japo kimtazamo ni kama hawana uhusiano mzuri,maana awali waliuza sukari sh 2000 @kg, sasa hivi wanauza kati ya 2500 na 5000!! kwa hiyo kunufaika kibiashara ni tofauti na kunufaika kimahaba,biashara ni Timing
hahaha
 
Hata Mbowe naye ana uhusiano mzuri tu.. Itakuwa Mengi na rais?
C'mon Man,in the same way walanguzi wa sukari wamenufaika zaidi na utawala huu wa mwendo kasi,japo kimtazamo ni kama hawana uhusiano mzuri,maana awali waliuza sukari sh 2000 @kg, sasa hivi wanauza kati ya 2500 na 5000!! kwa hiyo kunufaika kibiashara ni tofauti na kunufaika kimahaba,biashara ni Timing
Hakuna sehemu nimesema Mbowe ana uhusiano mbaya.

Nashindwa kuelewa suala la sukari limeingia vipi kwenye komenti yako kuhusiana na mada yangu?
 
Kwa vyovyote vile kila mwenye nia njema Na nchi hii atamuunga mkono Raisi Magufuli, so huyo Mengi pamoja Na wananchi wa tz tupo pamoja Na Raisi wetu mpendwa Magufuli!
Wale Mafisadi ambao kwasasa wanataka kujenga hoja Za udikteta hawana nafasi tena!
Ni hao hao waliowaambia wananchi kwamba uongozi uliopita ulikuwa Ni dhaifu sasa kinyume chake umekuja uongozi ngangari Na kila mwenye mapenzi mema Na taifa hili atauunga mkono
 
Hakuna sehemu nimesema Mbowe ana uhusiano mbaya.

Nashindwa kuelewa suala la sukari limeingia vipi kwenye komenti yako kuhusiana na mada yangu?
limeingia katika muktadha wa wafanyabiashara kunufaika na style ya mwendokasi
 
wale watoto 7000 wa UDOM wale watakuwa hawana Nia Njema
Kwa vyovyote vile kila mwenye nia njema Na nchi hii atamuunga mkono Raisi Magufuli, so huyo Mengi pamoja Na wananchi wa tz tupo pamoja Na Raisi wetu mpendwa Magufuli!
Wale Mafisadi ambao kwasasa wanataka kujenga hoja Za udikteta hawana nafasi tena!
Ni hao hao waliowaambia wananchi kwamba uongozi uliopita ulikuwa Ni dhaifu sasa kinyume chake umekuja uongozi ngangari Na kila mwenye mapenzi mema Na taifa hili atauunga mkono
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom