Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 18,894
- 31,103
Heshima sana wanajamvi,
Dr Reginald Mengi ni mmoja wa wafanyabiashara wakubwa wazawa lakini jambo la kushangaza katika kampuni zake Bonite Bottlers top management yake yote kaajiri Wahindi na si Watanzania wenzake wazawa.
Nimeshangaa sana majuzi nilitembelea kiwanda chake za uzalishaji wa vinywaji baridi soda Wahindi wamejazana ungefikiri uko Bombay je huu ni uzalendo?.
Dr Mengi ebu tuambie umeshindwa kuwaamini Watanzania wenzako katika ajira lakini hapo hapo unataka tuendelee kunywa soda za kampuni yako
KUANZIA LEO NIMESUSA KUNYWA SODA ZA BONITE BOTTLERS mpaka hali ya ajira itakabotazamwa upya,fikiria stores officer ni mhindi yaani huko Machame kwenu au Marangu Kibosho vijana wamejaa kibao bila ajira wewe unakwenda kutoa ajira Punjap
Dr Reginald Mengi ni mmoja wa wafanyabiashara wakubwa wazawa lakini jambo la kushangaza katika kampuni zake Bonite Bottlers top management yake yote kaajiri Wahindi na si Watanzania wenzake wazawa.
Nimeshangaa sana majuzi nilitembelea kiwanda chake za uzalishaji wa vinywaji baridi soda Wahindi wamejazana ungefikiri uko Bombay je huu ni uzalendo?.
Dr Mengi ebu tuambie umeshindwa kuwaamini Watanzania wenzako katika ajira lakini hapo hapo unataka tuendelee kunywa soda za kampuni yako
KUANZIA LEO NIMESUSA KUNYWA SODA ZA BONITE BOTTLERS mpaka hali ya ajira itakabotazamwa upya,fikiria stores officer ni mhindi yaani huko Machame kwenu au Marangu Kibosho vijana wamejaa kibao bila ajira wewe unakwenda kutoa ajira Punjap