Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anajifanyaga sista-duuu kumbe umri umeshaenda mwambieni akue
Hii issue ya kujikanyaga kwa wadada ni common, wakiulizwa umri hupunguza takriban mitano ili waoneshe wana umri mdogo. Sijui kuwa na umri mdogo kuna deal gan?
Huyu dada bado yupo Radio One? napenda sana aina yake ya utangazaji...
Kwani hujawahi ona lijimama linaongozana na kabwana mdogo? ukifanikiwa kumhoji utacheka tu, hutaja miaka 21 zau pungufu. Yawezekana mayanki hupenda "vinavyo bana" kwani vina raha yake.Wanajishtukia akili zao hazijakuwa kama umri ulivyokwenda. Tabia ya kuchakachua iko kila mahali
Huyu dada bado yupo Radio One? napenda sana aina yake ya utangazaji...
Lile tangazo lake la maleria haikubaliki mbona ghafla limekuwa replaced na la stara tomas?