Regina Mwalekwa anaporipoti upupu toka Bungeni

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Jan 10, 2009
5,471
733
Wakuu jana nimebahatika kumsikiliza ripota maalumu wa redio ya watu mwanamama Regina Mwalekwa akiripoti habari za bungeni kwa kweli kama walimtoa ITV/Rado1 katika "dirisha dogo la usajili" kuja kufanya kazi hii ni aibuu kweli Clouuddssss ni redio ya............Hebu sikiliza mwenye uchakachue na utoe jibu sahihi..

View attachment A15-11-10_08.26.mp3
 
Wakuu jana nimebahatika kumsikiliza ripota maalumu wa redio ya watu mwanamama Regina Mwalekwa akiripoti habari za bungeni kwa kweli kama walimtoa ITV/Rado1 katika "dirisha dogo la usajili" kuja kufanya kazi hii ni aibuu kweli Clouuddssss ni redio ya............Hebu sikiliza mwenye uchakachue na utoe jibu sahihi..

View attachment 17214[/QUOT
upuuzi mtumu huyu mama mtu mzima hovyooooo
 
Wakuu jana nimebahatika kumsikiliza ripota maalumu wa redio ya watu mwanamama Regina Mwalekwa akiripoti habari za bungeni kwa kweli kama walimtoa ITV/Rado1 katika "dirisha dogo la usajili" kuja kufanya kazi hii ni aibuu kweli Clouuddssss ni redio ya............Hebu sikiliza mwenye uchakachue na utoe jibu sahihi..

View attachment 17214[/QUOT
upuuzi mtumu huyu mama mtu mzima hovyooooo

Hayo ndio mambo ya Clouds wanakuja kwa kasi na wanataka kuwa super katika kila idara ya media
 
...wenzenu weshafanya (Radio) Market research & analysis na kugundua wasikilizaji wao wanataka nini,
no wonder wanatumia style hiyo ya utangazaji.
Ita bore kwa baadhi. lakini kwa wasikilizaji wao 'loyal' aaah, ni kawaida tu (hawakwaziki)

No wonder wasikilizaji wa Clouds fm ni "wengi" sana. I wonder kama Tanzania kuna kipimo kujua idadi ya wasikilizaji kwa wiki (kwa kila Radio Stations na kila kipindi).
Nakumbukia kilio cha wengi Masoud Kipanya na Fina Mango walipoondoka Power Breakfast.

Hizo ni style tu za utangazaji.
 
...wenzenu weshafanya (Radio) Market research & analysis na kugundua wasikilizaji wao wanataka nini,
no wonder wanatumia style hiyo ya utangazaji.
Ita bore kwa baadhi. lakini kwa wasikilizaji wao 'loyal' aaah, ni kawaida tu (hawakwaziki)

No wonder wasikilizaji wa Clouds fm ni "wengi" sana. I wonder kama Tanzania kuna kipimo kujua idadi ya wasikilizaji kwa wiki (kwa kila Radio Stations na kila kipindi).
Nakumbukia kilio cha wengi Masoud Kipanya na Fina Mango walipoondoka Power Breakfast.

Hizo ni style tu za utangazaji.
Mbu nina wasiwasi kuwa wasikilizaji wengi wa hii redio sio wengi kama unavyohisi
 
Mimi nilikuwa msikilizaji mzuri wa Clouds. Lakini ikafika sehemu nikagundua kama mambo hayaendi sawa. Kuna watu wanaona wanajua kila kitu wanasahau kama utangazaji ni kazi ambayo inataka umakini nikaacha kabisa kuisikiliza. Siku moja ofisini kuna mtu mmoja naye akatoa comment kuwa hasikilizi tena Clouds maana hawaeleweki.
Well, loyal listeners wao wengi ni vijana. Ila ili kupata wateja wa namna zote wanatakiwa kuwa makini sana na namna wanavyoendesha vipindi vyao. Wakijisahau watapata ushindi kwa njia ya kuchakachua maana kwa njia halali haitawezekana.
 
Mimi nilikuwa msikilizaji mzuri wa Clouds. Lakini ikafika sehemu nikagundua kama mambo hayaendi sawa. Kuna watu wanaona wanajua kila kitu wanasahau kama utangazaji ni kazi ambayo inataka umakini nikaacha kabisa kuisikiliza. Siku moja ofisini kuna mtu mmoja naye akatoa comment kuwa hasikilizi tena Clouds maana hawaeleweki.
Well, loyal listeners wao wengi ni vijana. Ila ili kupata wateja wa namna zote wanatakiwa kuwa makini sana na namna wanavyoendesha vipindi vyao. Wakijisahau watapata ushindi kwa njia ya kuchakachua maana kwa njia halali haitawezekana.
Hapo umenena mkuu staili wanayotumia kupata wasikilizaji ni short lived maana inalenga group fulani katika jamii
 
Hao clouds ni wajinga sana,na vipindi ambavyo vinaboa ni viwili,ambavyo ushauri wangu wangepewa wakina dada ndio watangaze,ni power breakfast na jahazi,maaana wanao tangaza sasa hivi ni kama mashoga vile,kazi kucheka cheka pasipo sababu,hasa kibonde na PJ hawa watu wanamatatizo tena makubwa sana.
 
CLOUDS IMELENGA KUNDI MOJA SAWA KABISA NA CHADEMA........! CLOUDS INATAMBA MIJINI SAWA KABISA NA CHADEMA......CLOUDS INABOA MAKUNDI MENGINE KATIKA JAMII SAWA KABISA NA CHADEMA....!
USHAURI WANGU........ clouds na chadema....lisemwalo lipo( kama cuf na udini, chadema na ukabila) mtajitahidi kuukataa ukweli ila unaonekana..... makundi mengine katika jamii pia yawahitaji
 
CLOUDS IMELENGA KUNDI MOJA SAWA KABISA NA CHADEMA........! CLOUDS INATAMBA MIJINI SAWA KABISA NA CHADEMA......CLOUDS INABOA MAKUNDI MENGINE KATIKA JAMII SAWA KABISA NA CHADEMA....!
USHAURI WANGU........ clouds na chadema....lisemwalo lipo( kama cuf na udini, chadema na ukabila) mtajitahidi kuukataa ukweli ila unaonekana..... makundi mengine katika jamii pia yawahitaji
Haya tena tuone jinsi gani Clouds wataripoti issue ya wabunge wa CHADEMA kutoka bungeni wakati JK anapoaanza kuhutubia bunge
 
Haya tena tuone jinsi gani Clouds wataripoti issue ya wabunge wa CHADEMA kutoka bungeni wakati JK anapoaanza kuhutubia bunge

I am dissapointed with this Lady.Unajua ukiwa mzee ukajifanya msela utaonekana kama Comedy!Kuwa mtangazaji lazima uwe wewe,don't imitate some one else characters!Niliisave hii clip nilipomaliza tu kuisiliza nimeifutilia mbali haipo hata recycle bin!Hopeless+ None Sense
 
I am dissapointed with this Lady.Unajua ukiwa mzee ukajifanya msela utaonekana kama Comedy!Kuwa mtangazaji lazima uwe wewe,don't imitate some one else characters!Niliisave hii clip nilipomaliza tu kuisiliza nimeifutilia mbali haipo hata recycle bin!Hopeless+ None Sense

tatizo ni radio station yenyewe. bora angejirudia tu radio tumaini
 
Mbu nina wasiwasi kuwa wasikilizaji wengi wa hii redio sio wengi kama unavyohisi

zamani tulikua wengi, ingawa ni jambo la aibu lakini ni fact, i can't deny it, hata mie, hapo zamani,nilikuwa mwanachama wao.

Nashukuru sasa hivi asubuhi naamka na sunrise ya Kipanya na Scolastica, mchana nashinda Job, wakati wa kurudi nasikiliza collection zangu za praise n worship, period! jumapili tu saa nane ndo huwa narudi clouds kusikiliza njia panda
 
Wakuu jana nimebahatika kumsikiliza ripota maalumu wa redio ya watu mwanamama Regina Mwalekwa akiripoti habari za bungeni kwa kweli kama walimtoa ITV/Rado1 katika "dirisha dogo la usajili" kuja kufanya kazi hii ni aibuu kweli Clouuddssss ni redio ya............Hebu sikiliza mwenye uchakachue na utoe jibu sahihi..

View attachment 17214


Sugu's perspective anamalizia "wafuuuu"
 
Back
Top Bottom