Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 751
Wakuu jana nimebahatika kumsikiliza ripota maalumu wa redio ya watu mwanamama Regina Mwalekwa akiripoti habari za bungeni kwa kweli kama walimtoa ITV/Rado1 katika "dirisha dogo la usajili" kuja kufanya kazi hii ni aibuu kweli Clouuddssss ni redio ya............Hebu sikiliza mwenye uchakachue na utoe jibu sahihi..
View attachment A15-11-10_08.26.mp3
View attachment A15-11-10_08.26.mp3