Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,461
- 39,928
Kutoka Kilombero Mgombea wa CHADEMA Regia Mtema anaongoza kwa takribani kura 1250 na jitihada kubwa inatafuta kuweza kupata kura zitakazochakachua hizo. Fomu kutoka baadhi ya vituo zimeota mbawa na kama zile fomu kwenye mji mwingine ambazo ziligoma kuingia kwenye mashine hizi za Kilombero hata kuja hazitaki kuja.
Inaonekana kuna hali ya kukata tamaa na mwisho kama sehemu nyingine itabidi wakubali sauti ya watu isikike. Kama ushindi ungekuwa unakubalika mara moja jimbo la Kilombero lingekuwa ndio jimbo Pekee Morogoro kwenda upinzani..
Tusubiri.. labda hizi fomu zikipatikana zitakuja na idadi ya kuwatosha watani wa Chadema, CCM..
Inaonekana kuna hali ya kukata tamaa na mwisho kama sehemu nyingine itabidi wakubali sauti ya watu isikike. Kama ushindi ungekuwa unakubalika mara moja jimbo la Kilombero lingekuwa ndio jimbo Pekee Morogoro kwenda upinzani..
Tusubiri.. labda hizi fomu zikipatikana zitakuja na idadi ya kuwatosha watani wa Chadema, CCM..