Nimethibitishiwa na mtu mzito aliyepo Kilombero kuwa CCM walitaka kumhonga aliyekuwa mgombea mbunge wa Jimbo la Kilombero, Regia Mtema, Shilingi milioni 200 ili akubali matokeo bandia ya kura za ubunge, lakini amekataa!
Inasemekana JK alipokwenda Kilombero wakati wa kampeni aliwalaumu viongozi wa huko kwa kumsimamisha mgombea dhaifu, na akaonya kwamba wakilipoteza jimbo hilo kwa upinzani watakiona. Bila shaka Regia ataingia humu kututhibitishia taarifa hizi.
Inasemekana JK alipokwenda Kilombero wakati wa kampeni aliwalaumu viongozi wa huko kwa kumsimamisha mgombea dhaifu, na akaonya kwamba wakilipoteza jimbo hilo kwa upinzani watakiona. Bila shaka Regia ataingia humu kututhibitishia taarifa hizi.