Regia alikuwa anaendeshaje gari? Wakati mguu wake wa kulia ndio wenye ulemavu?

Always lets admit mistakes!! and lets do something to prevent such a disaster not to happen again!! But I know that area is very dangerous!! Is a place where four pastors perish in early December!! Magufuli do something!!
 
Madereva wote wa wabunge wawe na mikataba na ipelekwe bungeni kuainisha ni sawa na fedha za dereva wanazotoa bungeni ....
 
Kwa status yake ya ubunge hakustaili kuendesha gari tena kwenye safari ndefu. Alishindwaje kutoa ajira kwa dereva?
Unaweza kuwa ushauri mzuri unaoutoa ila nina wasiwasi na Kama unautoa kutoka rohoni
 
kayagila,nimeona na kin pasco na wengine waliokusapoti juu ya kuuliza swali,lakini najua mnachikitafuta,ila jaribuni kuwa binadamu,na kama jambo halikukugusa nadhani busara ya kuwaacha wale liliowagusa wakaomboleza bila bughudha au bila kuongezewa uchungu ingrlifaa sana,maana huko ni kuchokonoa ili ujue,nadhani muda huu ni watu kupeana maneno ya kufarijiana,maneno ya upendo,sehemu pekee ambako matendo kama yako yanafanyika kipindi hiki cha majonzi ni kule hospitali kama watakuwa wanauchunguza mwili wake au polisi kama watakuwa wanachunguza chanzo cha ajali.
Hapa tupe muda wa kuomboleza na kufarijiana kwanza kama ilivyo kawaida ya watanzania,kama mila na desturi zetu zilivyo.
Haiingii akili leo unaanza kuuliza maswali hayo,nilidhani kwa busara za kawaida tu na kwa mtu mwenye ubinadamu ungelikuja na hoja ya kutaka mazishi lini,wapi,je kama ni mbali kuna usafiri kwa jamaa na marafiki?je kama member wa jf rambirambi itakuwaje?au je nitafikaje nyumbani kwenye msiba?lakini cha ajabu wewe na wenzio wachache tunaowajua upande wenu mnaanza kuchokonoa vijimambo hata dada yetu hatujamzika,kwngu mimi hii ni mbaya sana,sipendi !

unawajuaje mpwa wamekula damu ya njano na kijani nini??
 
Mkuu

marehemu mh wangwe alikuwa anaendesha yeye ??
Yule mbunge aliesonga mbele na mkewwe wa cuf nao umeambiwa waliendesha wao ??umejiuliza kwa ni ni na pamoja walikuwa na miguu yote ok
namaanisha mungu akikupenda aijalishi uko wapi unaendesha wewe dereva...tuache tuhuzunike then uje ijumaa tafadhali tukusaidie jibu lako
Kila ajali inachanzo chake cha ajali
inawezekana dereva wa wangwe labda alikua mlevi, mwingine ali overspeed, kuto kuwa makini nk nk
Na hii haiondoi hoja ya chanzo cha ajali ya dada yetu Regia, kama ilitokana na hali yake ijadiliwe na si kuanza kulinganisha na watu wasio na ulemavu.

Mwisho Mungu anafuata nini tena kwenye hii ajali, inamaana yeye ndio ameipanga?

Kuna hoja ya msingi hapa kuwa mamlaka husika zizingatie haya mambo, wapo wengi sana wenye hali kama ya Dada yetu na wantumia magari ya kawaida, ni wakati sasa kuhakikisha taratibu zinafuatwa
Ni hulka ya binadamu kujifunza kwa makosa, nahili ni funzo kwetu

 
mkuu, swali la huyu bwana ni la kijinga na la maudhi at this perticular time. Anisamehe kama nimemkwaza, kwa bahati mbaya wengine wetu kifo chake kimetugusa kiasi ambacho discusion ya namna hii inaweza ikapelekea kichapo kama angekuwa karibu.

Huwa tunajufunza kutokana na makosa tuliyotenda. Kama kuna kosa limefanyika basi hatuna budi kujifunza kwa faida ya baadae.

RIP Dada Regia
 
Nimesikitishwa na taarifa za msiba wa muheshimiwa Regia Mtema, inasemekana alikuwa anaendesha gari yeye mwenyewe sasa mimi najiuliza hivi gari hiyo ilikuwa ni ya buttons za kubonyeza kwa mkono maana mguu wake wa kulia ndio wenye ulemavu sasa brake accelerator angewezaje kuzikanyaga au ilikuwa LHD? ni risk sana kuendesha gari kwa mtu ambaye ni physically challenged in udadisi tu
Umepitwa na wakti ww, nenda pale nssf akiba ulizia mlemavu anaendesha gari,
Tena gari yenywe mbenz!!!
Utaonyeshwa kijana niliyesoma nae, tukiwa shule alikuwa akitamba kwa magongo hadi leo hii.

Cha ajabu nini hapo?
 
Nimesikitishwa na taarifa za msiba wa muheshimiwa Regia Mtema, inasemekana alikuwa anaendesha gari yeye mwenyewe sasa mimi najiuliza hivi gari hiyo ilikuwa ni ya buttons za kubonyeza kwa mkono maana mguu wake wa kulia ndio wenye ulemavu sasa brake accelerator angewezaje kuzikanyaga au ilikuwa LHD? ni risk sana kuendesha gari kwa mtu ambaye ni physically challenged in udadisi tu
swali zuri, ila naona watu wanataka kuchanganya na uchungu wa msiba
nijuavyo mimi single legged drivers wanapewa vifaa maalum ili waweze kuendesha gari,wengine ambao hawana miguu yote miwili hubadililishwa hadi kiti chao cha kukaa na pedals za cluch,mafuta,brake(kwa manual)na brake na mafuta (kwa auto) hupandishwa juu ili waweze kuzifikia kwa urahisi.
so kwa swala la regia lazima gari yake itakuwa ilifanyika modification kidogo au yeye alikuwa na mguu wa kuvaa au kuna jinsi iliyokuwa ikimuwezesha yeye kuendesha gari yake,
jaribu kutafuta kitu inaitwa motability unaweza pata clue kidogo
 
mkuu kuna magari automatic special kwa vilema nadhani hata hiyo gari yake ilikuwa hivyoo sawa mkuu..
Nothing special kuna add on gudgets kwa ajili ya vilema, vinawekwa mlemavu hata kama hana miguu anaendesha kama kawaida mradi awe na mikono safi, all controls anatumia mikono
 
Kayagila,nimeona na kin Pasco na wengine waliokusapoti juu ya kuuliza swali,lakini najua mnachikitafuta,ila jaribuni kuwa binadamu,na kama jambo halikukugusa nadhani busara ya kuwaacha wale liliowagusa wakaomboleza bila bughudha au bila kuongezewa uchungu ingrlifaa sana,maana huko ni kuchokonoa ili ujue,nadhani muda huu ni watu kupeana maneno ya kufarijiana,maneno ya upendo,sehemu pekee ambako matendo kama yako yanafanyika kipindi hiki cha majonzi ni kule hospitali kama watakuwa wanauchunguza mwili wake au polisi kama watakuwa wanachunguza chanzo cha ajali.
Hapa tupe muda wa kuomboleza na kufarijiana kwanza kama ilivyo kawaida ya watanzania,kama mila na desturi zetu zilivyo.
Haiingii akili leo unaanza kuuliza maswali hayo,nilidhani kwa busara za kawaida tu na kwa mtu mwenye ubinadamu ungelikuja na hoja ya kutaka mazishi lini,wapi,je kama ni mbali kuna usafiri kwa jamaa na marafiki?je kama member wa JF rambirambi itakuwaje?au je nitafikaje nyumbani kwenye msiba?lakini cha ajabu wewe na wenzio wachache tunaowajua upande wenu mnaanza kuchokonoa vijimambo hata dada yetu hatujamzika,kwngu mimi hii ni mbaya sana,sipendi !

JF tusiwe na double standards.
Wakati marehemu Chacha Wangwe alipopata ajali na kufariki maswali juu ya chanzo cha ajali yalianza kuulizwa humu hata kabla marehemu hajazikwa. Wakati Marehemu Salome Mbatia alipopata ajali na kufariki maswali juu ya chanzo cha ajali yalianza kuulizwa hata kabla marehemu hajazikwa. Meli ilipozama Zanzibar mwaka jana na kusababisha mamia ya vifo maswali yalianza kuulizwa wakati harakati za uokoaji zikiendelea. Sasa leo what is so different?
 
Umepitwa na wakti ww, nenda pale nssf akiba ulizia mlemavu anaendesha gari,
Tena gari yenywe mbenz!!!
Utaonyeshwa kijana niliyesoma nae, tukiwa shule alikuwa akitamba kwa magongo hadi leo hii.

Cha ajabu nini hapo?

Majibu ya aina hii ndio yameifikisha Tanzania tulipo leo. Muuliza swali alitaka kujua kama gari la marehemu lilikuwa modified ili kumuwezesha kuliendesha bila ya matatizo. Sasa hilo gari la mshikaji wako linakujaje hapo? Just because rafiki yako gari lake lilikuwa modified haimaanishi pia kuwa gari la marehemu Regia lilikuwa modified. Kama una uhakika na hilo basi mjuuze muuliza swali ili mjadala ufungwe.

RIP Dada Regia
 
Rest in peace Hon Regia Mtema! Kuna maswali kwanini Mh alikuwa akiendesha gari? Maumbile yake yalikuwa ni changa moto! Tulikupenda Regia ila safari ni moja
 
kipande cha barabara kutoka chalinze ruvu ni kibaya sana
kila siku ukipita lazima ukutane na ajali
waziri husika tafadhali fungua macho!!!
R.i.p kamanda rem
 
Sasa hapo karopoka nini?na upuuzi wake ni upi?Naamini majibu ya swali lake ni muhimu sana.
mimi nilishasema, kuna watu humu their not real intellectualls............ mtu kauliza, ajibiwe kisomi ila still kuna mtu anakurupuka na kujibu ovyo kitu kinachofanya sometym watu wadharau JAMII FORUM
 
Ndugu zangu, katika kipindi hiki yatosha tu kuomboleza , kumuombea na kujiombea. Ni ajali, na si mara yake ya kwanza kuendesha gari, ni eneo baya sana kutoka Mlandizi mpaka Chalinze inajulikana. RIP Regia, nyuma yako mbele yetu, hatujui siku lakini tutafuata!
 
Wabongo bwana COMPLICATIONS kibaooo,sawali la kawaida hata mi najiuliza sasa cha ajabu nn?kwani kuna siri kama muheshimiwa Regia alikuwa mlemavu?kwani kuna tatizo gani kuuliza sasa huvi mbona misibani watu wanauliza marehemu kafaje?acheni kuleta siasa kila sehemu...wote mliokwazika ni CRAAP !wewe Brigita na wenzio!aliyeuliza thumbs Up!

tena mimi ni crap kweli!!
Dare to meet me, and i stand to what i say and believe. Hutaki unaacha.
 
mpaka sasa, zaidi ya kusema swali la mleta hoja lijibiwe, nani kajibu??
Issue ni kwamba amekuwa akiendesha gari, kama wabunge wengine ambao wanaendesha magari safari fupi na hata ndefu. Kama mguu wake ndio uliosababisha, that is yet to be invdstigated.....ever heard of accident investigation? With proper simulation of various assumptions that are scientifically proved. Kama that is not done, basi hakuna aliye na mamlaka ya kufanya assumption ya 'kilicho sababisha ajali au kilichochangia ajali'.
 
mpaka sasa, zaidi ya kusema swali la mleta hoja lijibiwe, nani kajibu??
Issue ni kwamba amekuwa akiendesha gari, kama wabunge wengine ambao wanaendesha magari safari fupi na hata ndefu. Kama mguu wake ndio uliosababisha, that is yet to be invdstigated.....ever heard of accident investigation? With proper simulation of various assumptions that are scientifically proved. Kama that is not done, basi hakuna aliye na mamlaka ya kufanya assumption ya 'kilicho sababisha ajali au kilichochangia ajali'.
Mkuu unahita investigation gani iwapo taratibu zipo wazi kabisa mtu mwenye hali kama yake anatakiwa kuendesha gari lililokuwa modified kwa hali yake, Gari alilokuwa anaendesha halikufanyiwa chochote.

Hapo kwenye red kuna exemption kwa kesi hii ya kifo cha Mhe Regia au ni kwa wote...............what a double standard
Kwanini tunakimbia vivuli vyetu kwa kisingizio cha majonzi, Misiba imejadili mingapi humu kwa style hii? Tusiendeshwe na hisia binafsi zaidi kuliko uhalisia

Labda nikupe maelezo ya wenye mamlaka ya kutoa matamko kuhusu ajali hii


Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani mkoani Pwani, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP), Saleh Mbaga alithibitisha kutokea kwa ajali hiyo na kuongeza kuwa ilitokana na hatua ya Mbunge huyo kulipita gari lililokuwa mbele yake na ghafla likatokea roli la mafuta na
alipotaka kurejea upande wake gari hilo lilimshinda na kubiringita mara saba.

Alisema hata hivyo ajali hiyo imechangiwa kwa kiasi kikubwa na hatua ya Mbunge huyo kuwa na ulemavu wa mguu na hivyo kuwa na mguu mmoja tu wa kushoto ambao alisema inadhaniwa ulimpa tabu katika kufanya uamuzi baada ya kutokea kwa lori hilo la mafuta mbele
yake.

"Kama mnavyojua pedeli za gari zipo upande wa kulia lakini yeye alikuwa anatumia mguu wa kushoto kwa hiyo inawezekana kutokana na mshituko wa kutokea gari mbele, alibabaika katika kuutumia mguu huo wa kushoto kufanya uamuzi na hivyo kusababisha gari kumshinda na kupinduka," alisema Mbaga.

Chanzo HabariLeo | Mbunge Chadema afa ajalini Ruvu
 
Nawashukuru wana Jamii hata wale wote walionitukana lakini ipo siku mtakumbuka maswali yangu.....nina hakika ajali nyingi husababishwa na uzembe wa madereva au mamlaka zinazowapa leseni madereva wasio stahili....kama mtu unaweza kupewa certificate of competence kwa kuhonga elfu 30,000 oysterbay polisi unawezaje mtu kushangaa ajali za uzembe zikiongezeka....nyie mliotukana endeleeni tu mdomo ni kama choo.
 
mkuu, swali la huyu bwana ni la kijinga na la maudhi at this perticular time. Anisamehe kama nimemkwaza, kwa bahati mbaya wengine wetu kifo chake kimetugusa kiasi ambacho discusion ya namna hii inaweza ikapelekea kichapo kama angekuwa karibu.

Bigirita hata mimi umenikera,muungwana ukikutana na hali kama hiyo vuta pumzi juu alafu ishushe na ujipitie tu hutakuwa umekosea kwani humu JF si kila liulizwalo lina jibu maana wengine wametumwa.Sasa nawe watutoa kwenye msiba kwa matusi yako,jirekebishe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom