Mombo Wetu
JF-Expert Member
- Aug 5, 2008
- 377
- 36
phD siyo Omniscience bali ni reductionists kwa hiyo ufahamu wao ni wa kitu kidogo kati ya vingi kwa upana wa hicho kidogo.Ukweli ni kwamba knowledge ya phD holder imefungwa kwa kile alichosoma na tusidanganyane wanajua saaana
Inabidi uingie google utafute why is it called PhD kabla ya kusema haya! Kwanini hivi wote wana end up kuwa PhDs holders na hawapewi jina based on specific fields.....
Ukiwa trained in fine art hawakutegemei uchore tu picha zile ulizo zichora wakati wa training....They teach you an art of doing fine art; Tutoe uzito kwenye mambo yanayopashwa kupewa uzito ama sivyo tutapoteza mwelekeo. Kumbuka impact yake ni kubwa sana kwenye inspirations za watoto/vijana katika kusoma.
Watu wanapo abuse the means of adding value to materials haimaanishi inaondoa maana ya hiyo value katika ku qualify materials. Ningemshauri Mheshimiwa aangalie katika means zaidi ambayo ni determinant ya end value kuliko kuilaumu end value yenyewe, kwani pamoja na yote bado hiyo value bado ina hold water kwa many of the market products zilizopo. Generalization would lead to disappointments za wale ambao bado wanajali the end values.