Regency park hotel iko mikocheni sehemu gani?

kyagata

JF-Expert Member
Oct 18, 2016
6,458
12,552
wakuu vipi?
nimepigiwa simu na kampuni flani niende kwenye interview siku ya jumanne na interview itafanyikia regency park hotel wameniambia hiyo hotel iko mikocheni.so nilikua naomba kuelekezwa kutokea ubungo napanda daladala za wapi ili kufika hapo kwenye hiyo hotel?
natanguliza shukrani
 
Interview ya kampuni gan hyo inayofanyikia kwenye hotel ya kishua kama hiyo?
Hongera mkuu
 
Panda gari za kawe hapo mawasiliano shuka kawe, then panda gari za mbagala au buguruni shuka kituo kinaitwa kwa mwalimu nyerere then utatembea kidogo kuelekea mbele, hotel ipo upande huo huo ulioshukia.
 
wakuu vipi?
nimepigiwa simu na kampuni flani niende kwenye interview siku ya jumanne na interview itafanyikia regency park hotel wameniambia hiyo hotel iko mikocheni.so nilikua naomba kuelekezwa kutokea ubungo napanda daladala za wapi ili kufika hapo kwenye hiyo hotel?
natanguliza shukrani
brother mm mwenyewe nimeitwa ila jina la kampuni sikuskia vema maana naaply sehem nyingi mkuu plz nisaidie
 
wakuu vipi?
nimepigiwa simu na kampuni flani niende kwenye interview siku ya jumanne na interview itafanyikia regency park hotel wameniambia hiyo hotel iko mikocheni.so nilikua naomba kuelekezwa kutokea ubungo napanda daladala za wapi ili kufika hapo kwenye hiyo hotel?
natanguliza shukrani
namba yangu 0712752600 naomba nitumie jina la kampuni kwa sms
 
panda mwendokasi hapo ubungo,nenda mpaka Morocco then chukua daladala zinazoelekea Kawe uwaambie wakushushie mahali mgahawa wa kfc ulipo then utatembea mbele kama hatua mia hivi kuifikia regency park hotel.
 
Saa moja na nusu asubuhi huwa napita hapo Ubungo na Prado yangu naelekea Masaki.

Ni-PM nikupe lift maana nitapitia njia hiyo.
 
Panda gari la kawe then shukia njia panda ya feza japo sio kituo rasmi ila utaomba msaada
Huyu yupo sahihi sana.
Ila jiangalie usiende kula kula chakula hovyo pale waweza kuja ambiwa
bili ya ugali samaki 60,000/=
 
Saa moja na nusu asubuhi huwa napita hapo Ubungo na Prado yangu naelekea Masaki.

Ni-PM nikupe lift maana nitapitia njia hiyo.
sasa utanipa vipi lift ilihali nami ntakuwa na vitz yangu..??
 
Back
Top Bottom