Refresh your mind!

wamadish

JF-Expert Member
Jan 17, 2013
438
87
Umeemda dukani kununua sumu ili ukajiuwe, ukatoa elfu kumi kwa muuza duka, je kuna haja ya kusubiri chenji?
 
Huyo anatishia nyau, chenji ya nini wakati mkataba wake anaenda umaliza
 
Umeemda dukani kununua sumu ili ukajiuwe, ukatoa elfu kumi kwa muuza duka, je kuna haja ya kusubiri chenji?

nitasubiri kwakuwa ni haki yangu mpaka kaburini! lakini maisha yenyewe ya kujitoa roho yako wapi? hata kabla hujawaza tayari ni wa juzi
 
Umeemda dukani kununua sumu ili ukajiuwe, ukatoa elfu kumi kwa muuza duka, je kuna haja ya kusubiri chenji?

sio chenji ni masalia au balance,utachukua mana ni shetani mwenzio.Ili iwasaidie watakao kuzika
 
Back
Top Bottom