Maty
JF-Expert Member
- Aug 24, 2010
- 2,167
- 725
anaeamini kwamba hafanyi infidelity (hapo juu) akiri wazi wazi kwenye hii mada!......
mimi sifanyi infidelity
anaeamini kwamba hafanyi infidelity (hapo juu) akiri wazi wazi kwenye hii mada!......
ha ha ha ha!mimi sifanyi infidelity
Infidelity inafanyika sana tu na kila anayeshiriki anajua kuwa sio kitendo sahihi na ndio maana zipo hadi rules za kuavoid kushikwa.
Kwa nini mtu uogope kushikwa? Its because you are doing the wrong thing. Infidelity has never been a blessed act na ndio maana sio proper to discuss it publicly.
MSISITIZO:tunapenda kujadili DOWANS,EPA,IPTL n.kHapo ndiyo ninapotofautiana na watu wengi akiwamo wewe. Hii tabia ya kuficha mambo ambayo tunaishi nayo uvunguni ni hatari kuliko hata hayo maovu yenyewe. Hatutaki kujadili infidelity, ukahaba, utoaji mimba n.k lakini tunataka kuendelea na maisha yanayotumia nyenzo hizo au kuleta hayo matoke. That's very wrong and pathetic in deed!
ha ha ha ha!
haya bwana
mimi sifanyi infidelity
MSISITIZO:tunapenda kujadili DOWANS,EPA,IPTL n.k
Hebu apia kama hutafanya maisha yako yoooote!
yeah kani nimeona hizo sheria mmejiwekea wanandoa na mimi sijaoa wala kuolewa so sifanyi infidelity nafanya nafanya nafanya naona haina jina hii
yeah kani nimeona hizo sheria mmejiwekea wanandoa na mimi sijaoa wala kuolewa so sifanyi infidelity nafanya nafanya nafanya naona haina jina hii[/QUOTE]
Ok...ok ....ok....Maty,
Sasa umeeleweka. Hebu basi na wewe tunga rules ili wafuasi wako wazijue na wasipotoke!
ha ha ha ha!
haya bwana
YAH!Tatizo naona tunajipa jukumu la kuamua ipi ni dhambi bora!
hahaha ngoja nikachekee nje kweli hapa umenena!yeah kani nimeona hizo sheria mmejiwekea wanandoa na mimi sijaoa wala kuolewa so sifanyi infidelity nafanya nafanya nafanya naona haina jina hii
Teamo, hivi infidelity ni kwa wanandoa tu sio au??
yeah kani nimeona hizo sheria mmejiwekea wanandoa na mimi sijaoa wala kuolewa so sifanyi infidelity nafanya nafanya nafanya naona haina jina hii
FOR REAL!Teamo, hivi infidelity ni kwa wanandoa tu sio au??
Rejea rule no. 6Teamo, hivi infidelity ni kwa wanandoa tu sio au??
yeah kani nimeona hizo sheria mmejiwekea wanandoa na mimi sijaoa wala kuolewa so sifanyi infidelity nafanya nafanya nafanya naona haina jina hii[/QUOTE]
Ok...ok ....ok....Maty,
Sasa umeeleweka. Hebu basi na wewe tunga rules ili wafuasi wako wazijue na wasipotoke!
Mh! babu nahofia zangu zitaharibu ndoa za watu ngoja tuendelee nazo hizo hizo ila naitafutia tu jina ya kwetu
YAH!
lakin pia napata shida wakati mwingine kujadiliana na watu humu ndani......!kuna kitu huwa sielewi kabisa,WATU HAWATAKI KABISA HATA KUSIKIA UKWELI WA KINACHOTOKEA KWENYE MAISHA YA KILA SIKU!
Dogo, you missed the point one is trying to address'ANAEAMINI KWAMBA HAFANYI INFIDELITY (hapo juu) AKIRI WAZI WAZI KWENYE HII MADA!......