Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpira wa tz ni aibu kubwa sana. Ifike hatua tff iamke itangaze kua kombe ni kwa yanga na simba tu hakuna mwingine yyte atakaeruhusiwa kulitwaa kwa namna yyte ile. Shenzi sana yana.
Mpira wa bongo umekua wa hovyo sana ,mitim mibovu bado inabebwa hovyo hovyo tuu
Shida ni yule msomali pale tfff
Acha kabisa ametisha leomartini sanya unataka kusema kaupiga mwingi
Naipenda sana timu yangu ya Simba, ila mpaka sasa sijui ni vigezo gani vimetumika kulikataa lile goli. Waamuzi bado ni tatizo katika ligi yetuNawasubili tena apa wale wanaojifanyaga wanaumizwa na upuuzi wa marefa pindi yanga inapobebwa sasa wajitokeze tena kukemea kilichotokea kwenye mechi ya simba na geita gold, je goli la kusawazisha la geita limekataliwa kwa misingi ipi? Mchezaji aliotea au kapombe alisukumwa? Jibu analo mwamuzi martini sanya!!!!!