XII Tz
JF-Expert Member
- Aug 16, 2020
- 4,293
- 6,956
Hawa ndo wachawi wa soka letu na kamwe hatuwezi kuendelea kwa staili hii ..NiamimiMimj na Atachezesha na Hakuna Wa Kumfanya Lolote...
Hawwezi Kufungiwa niamini Mimi Kaka!
Tayari Kila Kitu Kilishapangwa na Akifungiwa ni Kidogo Mnooo ili Kutomuumiza.Na Hawezi fanywa chochote niamini Mimi Kaka!
Au Tuweke Dau hapa