Refa aliyechezesha mechi ya Namungo VS Yanga afungiwe

NiamimiMimj na Atachezesha na Hakuna Wa Kumfanya Lolote...
Hawwezi Kufungiwa niamini Mimi Kaka!
Tayari Kila Kitu Kilishapangwa na Akifungiwa ni Kidogo Mnooo ili Kutomuumiza.Na Hawezi fanywa chochote niamini Mimi Kaka!
Au Tuweke Dau hapa
Hawa ndo wachawi wa soka letu na kamwe hatuwezi kuendelea kwa staili hii ..
 
1. Penati feki.
2. Penati inapigwa huku kukiwa na Wachezaji watano ndani ya Box la kumi na nane na Refa ni wa Sita.

Nadhani Marefa wanaiogopa Yanga.
Hii sio kawaida.
Hiyo penati halali na imewalipa namungo mechi ya ligi walipewa goli la hovyo mbele ya yanga msimu uliopita,malipo hapahapa .
Refa akitenga ni halali we lala uamke salama .
Pia leteni VAR yenu ya li TV kesho tuone
 
IMG-20211120-WA0013.jpg
 
Mwaka Jana refa alitunyima point tatu Muhimu wakati tunacheza na namungo, refa alikataa goli la Hali kabisa, nasisi tulivumilia nyinyi mlisema tunalalamika Sana.Msimu huu ni zamu yenu kulala mika, Kuweni wapole wenzenu tuliumia kwa miaka mitano.
 
Ni kweli kuna wakati marefa huzibeba team

Lakini kwa hili Tff haina sababu ya kuufumbia macho udhaifu huu wa kikatili
Zile timu 2 za Kariakoo ndo kawaida yenu. Mnabebwa kila mwaka hapo bado yule REFA wa MANYARA hajaibeba Simba.
 
Huyu Refa akiachwa atakuja kusababisha mauaji ya halaiki uwanjani .

Ile penati aliyowapa yanga ni ya uongo , na bila shaka alilenga kujiurahisha yeye binafsi na familia yake , haikuwa penati na badala yake alipaswa kumlambisha kadi yule Fei Toto kwa kujiangusha .

Marefa wa namna hii wanaua soka la Tanzania , watimuliwe haraka .
Kale limao husaidia kupooza
 
Kama aliyechezesha game ya biashara united na simba hakufungiwa hadi leo basi itoshe tu kusema acha unafiki maana kumbukumbu zangu kama kweli wewe ni mtu wa haki kwenye mpira ulinyamaza kimya kwamba rafu ile ambayo ilikuwa itoke kadi nyekundu ungesema japo ila upo kishabiki
 
Kama aliyechezesha game ya biashara united na simba hakufungiwa hadi leo basi itoshe tu kusema acha unafiki maana kumbukumbu zangu kama kweli wewe ni mtu wa haki kwenye mpira ulinyamaza kimya kwamba rafu ile ambayo ilikuwa itoke kadi nyekundu ungesema japo ila upo kishabiki
Mkuu mashabiki wengi wa mpira hapa bongo Ni wanafiki tu. Kuna matukio mengi yameishatokea kwenye Michezo iliyotangulia especially Simba sc Ila hatukuona kelele Kama wanavyopiga kwa tukio la Jana ambalo kimsingi upande wangu naona matukio ya kawaida kwenye viwanja vyetu. Mojawapo Ni Hilo la Kennedy Juma kumkita maksudi mchezaji wa Biashara United mgongoni Tena akiwa Hana mpira watu mkakaa kimyaaa Kama Hakuna lililotokea. Kama tunataka kuwa fair Basi tusiwe bias hapo ndipo kelele zetu zitakuwa na maana. Namalizia kwa kusema Jana Namungo wa walituzidi, penalty ya Yanga Ni halali nimeangalia Mara kadhaa, Ila mazingira ya kupiga penality ndiyo hayakuwa halali maana wachezaji kadhaa walikuwa kwenye box pamoja na mwamuzi. Mechi imeisha hiyo tujipange kwa matukio mengine kwenye mechi zijazo.
 
Mmeanza kubwata penalty za simba uwa mmevaa mask amzioni, yanga kafaidika na mkwaju wa penalt Kama simba inavyofaidikaga na marefa kwaiyo acheni utahaira wenu kunya anye bata akinya kuku anakuwa amekosea? Kaeni kimya pia kama mnavyoshereekeaga pindi mnavyopata penalt za kubumba
mkuu unakosea sanaaaa kosa la mtu mwingne hariharalishi ww kutenda kosa hilo eti kwa kigezo cha kusema mbona furani Ali Fanya hivo weka mbal ushabiki kweny mambo ya msingi
 
Mkuu mashabiki wengi wa mpira hapa bongo Ni wanafiki tu. Kuna matukio mengi yameishatokea kwenye Michezo iliyotangulia especially Simba sc Ila hatukuona kelele Kama wanavyopiga kwa tukio la Jana ambalo kimsingi upande wangu naona matukio ya kawaida kwenye viwanja vyetu. Mojawapo Ni Hilo la Kennedy Juma kumkita maksudi mchezaji wa Biashara United mgongoni Tena akiwa Hana mpira watu mkakaa kimyaaa Kama Hakuna lililotokea. Kama tunataka kuwa fair Basi tusiwe bias hapo ndipo kelele zetu zitakuwa na maana. Namalizia kwa kusema Jana Namungo wa walituzidi, penalty ya Yanga Ni halali nimeangalia Mara kadhaa, Ila mazingira ya kupiga penality ndiyo hayakuwa halali maana wachezaji kadhaa walikuwa kwenye box pamoja na mwamuzi. Mechi imeisha hiyo tujipange kwa matukio mengine kwenye mechi zijazo.
Hatukatai kuna penalty zinaweza kuwa sio halali na ili kung'amua hilo utahitaji kuangalia marudio hata mara tatu kujua kwamba mchezaji kadanganya hapa namuongelea mchezaji pro kama BENARD MORRISON na huwezi kumlaumu refa sababu ni binadam pia na hapati faida ya marejeo ya picha kama wewe unaye angalia kwenye Tv, lakini ile ya jana tuwe wakweli ilikua ni ya mchongo na mbaya zaidi Fei toto halina akili wala halijui kudanganya ni kama aliambiwa tu adondoke kwenye boksi refa afunike ..
 
Huyu Refa akiachwa atakuja kusababisha mauaji ya halaiki uwanjani .

Ile penati aliyowapa yanga ni ya uongo , na bila shaka alilenga kujiurahisha yeye binafsi na familia yake , haikuwa penati na badala yake alipaswa kumlambisha kadi yule Fei Toto kwa kujiangusha .

Marefa wa namna hii wanaua soka la Tanzania , watimuliwe haraka .
Mpira ulimshinda kabisa, atoke hadharani aombe Radhi
 
Tatizo uzi umeuandika kishabiki na kiunafiki unafika kumhukumu moja kwa moja bila kutoa uchambuzi

Njoo na uchambuzi utuambia faulo nini na ni kwa nini haikuwa faulo

Na je ni makosa ya moja kwa moja ya refa au eras za kuchezesha mechi

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom