Refa ajitia mjanja, kumbe mtungiiii!!!!

Duh, angeweza kutoa red card hadi kwa wasaidizi wake.
 
hawa marefa ndio wanaoipaga manchester utd penati kila kukicha...
wahenga walisema mwisho wa ubaya aibu
 
kama kusema ukweli ni kutumwa basi mi ntatumwa mpaka siku ntakapoirudia ardhi...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom