Redio zetu zimetawaliwa na vipindi vya michezo

Watu wanatofautiana muda wa kufanya kazi, basi kwa mantiki hiyo basi vituo vya redio visirushe kabisa matangazo asubuhi kwasababu watu wanafanya kazi. Naona umetumia same reasoning iliyotumika kuzuia bunge live eti mida hiyo watu wanafanya kazi muda wa kutazama tv wanautoa wapi.
Basi kama Ni hivyo mbona Hakuna vipindi vya michezo saa Tisa usiku kwasababu Kuna watu wanafanya kazi muda huo.


Katika nchi hii working hours ni kuanzia asubuhi Hadi jioni. Wanaofanya kazi usiku Ni idadi ndogo.

Kama asilimia 70 ya wananchi wanajihusisha na kilimo. Ina maana hujui muda wa kujihusisha na kilimo. Au kilimo kwenu mnajishughulisha usiku.
 
Kwani huwa wanafanya mazoezi na kucheza hiyo michezo hapo.. wanapoteza nguvu tu ya uzalishaji na kutukuzia wazembe watazamaji na wasikilizaji wengi.. yaani hao wa robo saa BIG UP kwao
 
Radio Tanzania.. kipindi cha michezo saa 2 kasorobo mpaka saa 2 kamili.

robo saa inatosha kipindi cha michezo. siku hizi radio inakipindi cha michezo asubuhi masaa matatu na jioni masaa mawili na kila kipindi cha katikati kina segment ya michezo
yani unaangalia mechi azam tv.. iliisha unaangalia highlight ya mechi hiyo hiyo ikiisha unaangalia uchambuzi wa mechi hiyo hiyo. ukimaliza unaweka wasafi fm unaskiliza uchambuzi.. then unahamishia clouds unasikiliza.. then asubuhi unasikiliza wasafi fm wanachambua. masaa matatu. mchana ETV wanachambua masaa matatu...mwishowe inakuwa nchi ya wachambuzi

Misha ya Tanzania Bara ni michezo tuuuuuuii
Ndio inatakiwa ujue kuwa haipaswi kusikiliza radio na kutazama tivi kutwa nzima maana hakuna unachofaidi kwa upande wa content huo muda heri usome kitabu ufanye kazi ama ufanye mengineyo
 
Basi kama Ni hivyo mbona Hakuna vipindi vya michezo saa Tisa usiku kwasababu Kuna watu wanafanya kazi muda huo.


Katika nchi hii working hours ni kuanzia asubuhi Hadi jioni. Wanaofanya kazi usiku Ni idadi ndogo.

Kama asilimia 70 ya wananchi wanajihusisha na kilimo. Ina maana hujui muda wa kujihusisha na kilimo. Au kilimo kwenu mnajishughulisha usiku.
Basi kwasababu ni working hours kama unavyodai radio sizirushe vipindi hata visivyokuwa vya michezo.

Katika biashara kujua wateja wako wanataka ni muhimu sana. Hizo redio ni za burudani ndio maana utaona zinarusha mambo ya burudani na michezo kuliko content nyingine.

Halafu unawalaumu bure, nchi hii mambo ya kijinga na yanayohusiana na michezo ndo watu wanapenda kusikia kuliko hata mambo ya maana. Huwezi fungua genge ukaweka nyama wakati wateja wako wengi ni wanunuzi wa dagaa
 
Hao ndio tusiwaongelee kabisa
Hizo radio ni za burudani mkuu wanaangalia wasikilizaji wao walio wengi wanataka nini ndicho wanawapa. Wako kwenye biashara zaidi.

Kuwalaumu ni sawa na kwenda kwenye danguro halafu ukalalamika wanawake hawajistiri
 
Basi kwasababu ni working hours kama unavyodai radio sizirushe vipindi hata visivyokuwa vya michezo.

Katika biashara kujua wateja wako wanataka ni muhimu sana. Hizo redio ni za burudani ndio maana utaona zinarusha mambo ya burudani na michezo kuliko content nyingine.

Halafu unawalaumu bure, nchi hii mambo ya kijinga na yanayohusiana na michezo ndo watu wanapenda kusikia kuliko hata mambo ya maana. Huwezi fungua genge ukaweka nyama wakati wateja wako wengi ni wanunuzi wa dagaa
Hoja yangu Ni wewe kusema watu wanatofautiana mida ya kufanya kazi, nikakwambia majority ya labour force TANZANIA inatumika asubuhi Hadi jioni!

Kwa nchi iliyojaa wajinga Kama Tanzania bila kuwa na control ya vitu watu wataishia kutokufanya kazi. Ndio maana vitu binakuwa regulated. Bila vitu kuwa regulated watu wanaaamka asubuhi wanacheza pool table hawafanyi kazi.


Kijijin kwetu ni mwiko kijana kuonekana kijiweni asubuhi watu wakafanye kazi.


Hayo mengine uliyoongea ni blabla tu
 
Radio Tanzania kipindi cha michezo saa 2 kasorobo mpaka saa 2 kamili.

Robo saa inatosha kipindi cha michezo. siku hizi radio inakipindi cha michezo asubuhi masaa matatu na jioni masaa mawili na kila kipindi cha katikati kina segment ya michezo.

Yaani unaangalia mechi azam tv ikiisha unaangalia highlight ya mechi hiyo hiyo ikiisha unaangalia uchambuzi wa mechi hiyo hiyo. Ukimaliza unaweka wasafi fm unaskiliza uchambuzi, then unahamishia clouds unasikiliza.

Then asubuhi unasikiliza wasafi fm wanachambua, masaa matatu. Mchana ETV wanachambua masaa matatu, mwishowe inakuwa nchi ya wachambuzi

Maisha ya Tanzania Bara ni michezo tu
Ni kwasababu watanzania wengi hasa vijana wa pwani, akili zimeshikwa na mipira. Ndio maana nchi hii itaendelea kutawaliwa na wajinga mpaka kiama. Asubui mapema unakuta kwenye vilinge vya magazeti utadhani wanacha maana wanasoma kumbe kurasa ya nyuma ile ya michezo ndio wanafocus hapo.
 
Radio Tanzania kipindi cha michezo saa 2 kasorobo mpaka saa 2 kamili.

Robo saa inatosha kipindi cha michezo. siku hizi radio inakipindi cha michezo asubuhi masaa matatu na jioni masaa mawili na kila kipindi cha katikati kina segment ya michezo.

Yaani unaangalia mechi azam tv ikiisha unaangalia highlight ya mechi hiyo hiyo ikiisha unaangalia uchambuzi wa mechi hiyo hiyo. Ukimaliza unaweka wasafi fm unaskiliza uchambuzi, then unahamishia clouds unasikiliza.

Then asubuhi unasikiliza wasafi fm wanachambua, masaa matatu. Mchana ETV wanachambua masaa matatu, mwishowe inakuwa nchi ya wachambuzi

Maisha ya Tanzania Bara ni michezo tu
Maana yake ndo content inayopendwa ..kwa maana hyo wananchi hawaumizw na mwenendo wa nchi na uchum na maisha..wamekubal umasikin uliokithiri..yaan wame give up...au the opposite
 
Hoja yangu Ni wewe kusema watu wanatofautiana mida ya kufanya kazi, nikakwambia majority ya labour force TANZANIA inatumika asubuhi Hadi jioni!

Kwa nchi iliyojaa wajinga Kama Tanzania bila kuwa na control ya vitu watu wataishia kutokufanya kazi. Ndio maana vitu binakuwa regulated. Bila vitu kuwa regulated watu wanaaamka asubuhi wanacheza pool table hawafanyi kazi.


Kijijin kwetu ni mwiko kijana kuonekana kijiweni asubuhi watu wakafanye kazi.


Hayo mengine uliyoongea ni blabla tu
Na wewe ulisema mida hiyo haifai kurusha vipindi vya michezo wakati ni muda wa kazi. Nikakwambia basi kwa mantiki hiyo radio zisirushe vipindi wala TV mpaka baada ya muda wa kazi.
Vijiji vingi ndivyo vilivyo asubuhi watu mashambani mpaka mida ya mchana.
 
Maana yake ndo content inayopendwa ..kwa maana hyo wananchi hawaumizw na mwenendo wa nchi na uchum na maisha..wamekubal umasikin uliokithiri..yaan wame give up...au the opposite
Tanzania watu hawasikilizi habari za maana, we ukitaka kujua hilo hata iitishwe press conference kati ya baba levo na zitto then tazama nani ana mic za kutosha toka vyombo vya habari.
Radio hizi za wafanya biashara nao wanaenda na nini kinapendwa zaidi na wasikilizaji
 
Radio Tanzania kipindi cha michezo saa 2 kasorobo mpaka saa 2 kamili.

Robo saa inatosha kipindi cha michezo. siku hizi radio inakipindi cha michezo asubuhi masaa matatu na jioni masaa mawili na kila kipindi cha katikati kina segment ya michezo.

Yaani unaangalia mechi azam tv ikiisha unaangalia highlight ya mechi hiyo hiyo ikiisha unaangalia uchambuzi wa mechi hiyo hiyo. Ukimaliza unaweka wasafi fm unaskiliza uchambuzi, then unahamishia clouds unasikiliza.

Then asubuhi unasikiliza wasafi fm wanachambua, masaa matatu. Mchana ETV wanachambua masaa matatu, mwishowe inakuwa nchi ya wachambuzi

Maisha ya Tanzania Bara ni michezo tu
🤔🤔🤔
NI hila za watu kutengeneza wajinga wengi ili watawaliwe kirahisi🙄
 
Basi kwasababu ni working hours kama unavyodai radio sizirushe vipindi hata visivyokuwa vya michezo.

Katika biashara kujua wateja wako wanataka ni muhimu sana. Hizo redio ni za burudani ndio maana utaona zinarusha mambo ya burudani na michezo kuliko content nyingine.

Halafu unawalaumu bure, nchi hii mambo ya kijinga na yanayohusiana na michezo ndo watu wanapenda kusikia kuliko hata mambo ya maana. Huwezi fungua genge ukaweka nyama wakati wateja wako wengi ni wanunuzi wa dagaa
Frankly speaking kwa sasa ni heri kufatilia hayo mambo ya kijinga coz ukiachana na hizo content za michezo utakutana na zile za politics and the likes ambazo ni pasua kichwa kuliko maelezo...Ni kweli swala la wao kupunguza muda inabid lizingatiwe ila kuhusu content kila mtu apambane na hali yake.
Sio kila anaesikiliza redio asubuhi hafanyi kazi,kuna kazi zina mazingira yanayorubusu mtu kusikiliza redio na hata kuangalia tv
 
Radio nyingi zimejaa ujingujing
Kuanzia watangazaj,vipindi vyao
Sasa kama watangazaj ni aina ya kina lokole,kumbuka etc unafikiri wanaweza zungumza mambo ya maana

Ova
 
Wanafanya biashara na wamelenga audience yao. Zipo redio kama TBC, redio one, hazina haya mambo lakini bado watu wanasikiliza hizo unazosema zinamilikiwa na wasanii wasio na elimu
Watanzania ni tofauti na watu wengine, uelewa wetu ni mdogo sana ndio maana tunazidi kuogelea kwenye dimbwi la umaskini
 
Mpira wa miguu ni biashara kubwa, ndani ya uwanja na hata nje ya uwanja.
Kwetu uchambuzi wa soka umekuwa biashara kubwa kuliko uchezaji, kina Shaffii Dauda, Maulid Kitenge, George Ambangile nk wamekuwa famous na wanatemgeneza fedha za kutosha kupitia uchambuzi wa soka kuliko hata wanaolisakata soka.
 
Watu wanatofautiana muda wa kufanya kazi, basi kwa mantiki hiyo basi vituo vya redio visirushe kabisa matangazo asubuhi kwasababu watu wanafanya kazi.

Naona umetumia same reasoning iliyotumika kuzuia bunge live eti mida hiyo watu wanafanya kazi muda wa kutazama tv wanautoa wapi.
Hata ukiangalia BBC news unaweza kukuta habari ni zile zile kwa masaa mengi sana mpaka ije breaking news, logic ni kuwa watu mbali mbali wanaangalia news kwa muda tofauti.
 
Back
Top Bottom