BASHADA
JF-Expert Member
- Jul 13, 2011
- 513
- 148
Redio DW BON, imeripoti kuwa JEshi la polisi limewakamata watu 32 waliokuwa wakiend Mbeya kwenda kufanya vurugu, wakitokea Iringa. Pia Kuna watu waliokamatwa kuhusiana na kifo cha Daudi Mwangosi. Msemaji wa Polisi ameulizwa kuhusu kilichomuua Mwangosi, JIBU: Inasemekana anepigwa na kitu ambacho mpaka sasa hakijafahamika bado mpaka uchunguzi ufanyike