Pulchra Animo
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 3,398
- 2,990
Kwa hiyo wasingeingiza kura feki pamoja na kuzuia baadhi ya mawakala kuingia vituoni, na figisu nyingine nyiing, matokeo yangekuwa hayo hayo??!!!
Mimi na wewe hatujashuhudia yote yaliyojiri. Election observers wana firsthand knowledge ya yaliyojiri.