Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 14,963
- 10,457
Musa ni mtoto wa kitaa. Anajua mpaka utumbo wa kuchoma sh 100 kipande na na supu ya hashua(pu*bu) sh 300 kwa bakuli pale uwanja wa fisi. Kibonde na u kada wake atamuweza wapi!
Hahahahhh.
Umeua kaka