MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,478
- 20,394
Tunaambiwa tujifunze kwa watu wowote, vitabu vinatuambia tukajifunze hata kwa wasio waumini. CHADEMA wana kitu cha kujinza kwa hawa vijana japokuwa ni watoto lakini kuna baadhi ya mambo hata red brigade wana uwezo wa kujifunza.
Hawa vijana kuna baadhi ya mambo nayaona hapa hata red brigade wanasubiri, mfano
1. Unadhifu
2. kutunza muda
3.Ukakamavu
4. Nidhamu
5. Ubunifu
6. Mazoezi
7. Inteligensia
8. Utayari wa kupambana na majanga
9. NK
CHADEMA wakipata hata vijana 20 kutoka hii halaiki kwenye ulinzi wa chama chao, sidhani kama viongozi wao wangekimbia nchi
Hawa vijana kuna baadhi ya mambo nayaona hapa hata red brigade wanasubiri, mfano
1. Unadhifu
2. kutunza muda
3.Ukakamavu
4. Nidhamu
5. Ubunifu
6. Mazoezi
7. Inteligensia
8. Utayari wa kupambana na majanga
9. NK
CHADEMA wakipata hata vijana 20 kutoka hii halaiki kwenye ulinzi wa chama chao, sidhani kama viongozi wao wangekimbia nchi