ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,661
Simba Sc, wakiwa na faida ya magoli matatu waliyoyapata mechi ya kwanza, leo wataingia uwanja wa taifa Lusaka kucheza mechi ya marudiano dhidi ya Red Arrows kuwania kuingia hatua ya makundi ya kombe la shirikisho barani Afrika. Je, mnyama ataweza kulinda ushindi wake na kutinga hatua ya makundi?
Tuwe hapa kuanzia Saa 10 Jioni
====
45' Banda anaitanguliza Red Arrows kwa kuifungia goli la kwanza
47' Red Arrows wanafunga goli la pili punde baada ya mapumziko
67' Dilunga anaiwekea Simba goli la kwanza, Red Arrows 2-1 Simba
Tuwe hapa kuanzia Saa 10 Jioni
====
45' Banda anaitanguliza Red Arrows kwa kuifungia goli la kwanza
47' Red Arrows wanafunga goli la pili punde baada ya mapumziko
67' Dilunga anaiwekea Simba goli la kwanza, Red Arrows 2-1 Simba