Don Vito
JF-Expert Member
- Jul 15, 2018
- 1,341
- 2,092
Kama alishaingiza details zake za NIDA, system itamgomea kufungua account nyingine.katika vitu muhimu vya kuhifadhi kwa dunia ya sasa ni email huu ni ulimwengu wa kidigatal mkuu
nadhan ulikuwa huitumiii mara kwa mara
ila usikate tamaa ilikishindikana kabisa fungua email mpya kisha jiunge kama mtandao upo vizuri ni ishu ya siku moja tu unamaliza kila kitu