jobe ayoub
JF-Expert Member
- Jan 30, 2012
- 203
- 99
Hata kikiingia chama kingine madarakani, naamini itachukua miaka mingi sana rekodi hizi za CCM kuvunjwa
1. Kikwete ameweka rekodi ya kuwa raisi wa kwanza duniani kutokujua kwa nini nchi yake ni maskini
2. Pinda ameweka rekodi ya kuwa waziri mkuu wa kwanza duniani kulia bungeni baada ya kuulizwa swali
3. Mulugo ni naibu waziri wa kwanza wa elimu kutojua madaraja ya walimu(janga hili)
4. Mulugo amekuwa waziri wa kwanza Tanzania kutokujua nchi yake ni muungano wa nchi zipi
5. Kikwete ameweka rekodi ya kuwa raisi wa kwanza diniani aliyesafiri nje ya nchi yake mara nyingi zaidi akiwa madarakani
6. Wizara ya elimu imeweka rekodi ya kutoa wanafunzi waliofeli kidato cha nne zaidi ya 90%
7. Pinda ameweka rekodi ya kuwa waziri mkuu aliyedanganya mara nyingi zaidi bungeni
8. Pinda ni waziri mkuu wa kwanza anaedharauliwa na walioko chini yake.
9. Awamu ya nne ya urais inaongoza kwa kutoa ahadi nyingi na kua na vipaombele visivyofanikiwa(eg kilimo kwanza).
1. Kikwete ameweka rekodi ya kuwa raisi wa kwanza duniani kutokujua kwa nini nchi yake ni maskini
2. Pinda ameweka rekodi ya kuwa waziri mkuu wa kwanza duniani kulia bungeni baada ya kuulizwa swali
3. Mulugo ni naibu waziri wa kwanza wa elimu kutojua madaraja ya walimu(janga hili)
4. Mulugo amekuwa waziri wa kwanza Tanzania kutokujua nchi yake ni muungano wa nchi zipi
5. Kikwete ameweka rekodi ya kuwa raisi wa kwanza diniani aliyesafiri nje ya nchi yake mara nyingi zaidi akiwa madarakani
6. Wizara ya elimu imeweka rekodi ya kutoa wanafunzi waliofeli kidato cha nne zaidi ya 90%
7. Pinda ameweka rekodi ya kuwa waziri mkuu aliyedanganya mara nyingi zaidi bungeni
8. Pinda ni waziri mkuu wa kwanza anaedharauliwa na walioko chini yake.
9. Awamu ya nne ya urais inaongoza kwa kutoa ahadi nyingi na kua na vipaombele visivyofanikiwa(eg kilimo kwanza).