Record: Obama kaangusha mabomu 26 000!

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,785
Raisi wa USA Obama amevunja rekodi kwa kuwa Raisi aliyeangusha mabomu mengi kuliko Raisi yoyote wa USA aliyeongoza kipindi cha amani, Raisi Obama ameangusha Mabomu zaidi ya 26,000 na amezipiga Mabomu nchi saba (7) zikiwemo mbili za Kiafrika Somalia na Libya, hii ni sawa Mabomu 72 kwa siku au matatu kwa kila lisaa hii ni kulingana na utafiti uliofanywa na Council of foreign Relations!


Rekord-Obama-liess-26000-US-Bomben-abwerfen-In-sieben-Laendern-story-548797_1164x658px_7da8629c3ee95366f3b5f27720b86286__usa-bomben-s1260_jpg_1491435_1164.jpg


6a4e075bb233ca2b9f4bb160cfae31e4__anhang_jpg.jpg


6d7c49976376613ff0c3bed187d8562e__ale_1_apa_afp_karam_al_masri_jpg.jpg



a5f503c7c42b4c94fc53a02ea582d17a__ale_3_associated_press_jpg.jpg
 
amiacha dunia kuwa uwanja wa fujo
malipo ni hapa hapa kama siyo kwake
basi
hata kwa kizazi chake
 
Halafu kwa unafki akawa analia ... Sisi watu weusi wanafki sana..
Ila kwa jinsi alivyolia siku ile ingekuwa Africa angejiongezea mda WA kukaa madarakan.. Ila kwakuwa ni kwa wenzetu wenye vitu vyao kwenye dunia ya Mungu ndio akawa analia kwa kuacha uongozi
 
Obama naye kwa kiasi flani amechangia kuiharibu dunia. na kuifanya dunia isiwe sio sehemu salama ya kuishi.
 
Hujui kitu,umezoea propaganda za chama chakavu,kwa taarifa yako Laos ndio sehemu ambayo iliangushiwa mabomu mengi,takribani mabomu milioni mia tatu sitini(360 millions bombs) yaliangushwa pale na marekani,hadi leo hii raia wa laos ni wahanga wa vita baridi,yaani ni maelfu ya mabomu ambayo mpaka sasa hajaripuka,.na yanaendelea kuwadhuru wakazi wa maeneo yao, [Land of a Million Bombs | Legacies of War] is good,have a look at it! Land of a Million Bombs | Legacies of War
[Laos: Barack Obama regrets 'biggest bombing in history' - BBC News] is good,have a look at it! Laos: Barack Obama regrets 'biggest bombing in history' - BBC News
 
Hujui kitu,umezoea propaganda za chama chakavu,kwa taarifa yako Laos ndio sehemu ambao iliangushiwa mabomu mengi,takribani mabomu milioni mbili yaliangushwa pale na marekani,hadi leo hii raia wa laos ni wahanga wa vita baridi,yaani ni maelfu ya mabomu ambayo mpaka sasa hajaripuka,.na yanaendelea kuwadhuru wakazi wa maeneo yao, [Land of a Million Bombs | Legacies of War] is good,have a look at it! Land of a Million Bombs | Legacies of War
Kwa kuongezea,mpaka leo marekani inalipa pesa nyingi kwa wahanga,maana kila uchwao watoto na wakazi wa laos amabao hawakuishuhudia vita ya Vietnam na marekani,wanaendelea kuathirika na matokeo ya vita kwa kuripukiwa na mabomu kila uchwao.,
 
Back
Top Bottom