Rebels M23 urge Tanzania to scrap sending UN troops to DRC

Hii vita inaweza kuzua balaa tukawa na uhasama mkubwa na rwanda pamoja uganda . Kama kweli hatuna maslai makubwa congo hakuna haja ya kujiingiza kichwa kichwa . Ila kama kuna faida yakueleweka twendeni tukapambane . DRC ni shamba la bibi kila nchi inaenda kuvuna rasilimali kadri inavyowezekana.

Juzi kwenye kuapishwa rais Wa KENYA ....Kagame hakuonekana kuwachangamkia Rais wetu na wa South Afrika....

Kagame NA Museveni ni Wanafiki...
 
Wazee wana uhakika wa kupiga 10% ya Malipo ya UN hapo hata mfanyaje lazima wapeleke majeshi tu na mkinga sana mtatolewa kucha na meno bila ganzi
 
Ataenda Mwigulu na sitosikitika mtanzania atakayepoteza maisha! Uamuzi wa kijinga
 
Jk anafanya maamuzi ya kijinga sana ..m23 wanakuhusu nini
Wanatuhusu. Vurugu wanazosababisha congo zina distabilise Tanzania. Hivi sasa hakuna usalama eneo la magharibi ya tz. Ukisafiri maeneo ya Tabora, karagwe na kadhalika unaweza kutekwa na kufanyiwa ubaya ambao hautasahau milele kama sio kuuliwa. Silaha na uharamia vinazagaa ovyo. Hawa wahuni lazima kukomeshwa. Sio tanzania tu inakwenda zipo nchi zingine pia
 
Watu wengi wanajidanganya hapa. Wanaona tunaweza tukawapiga M23 kirahisi.. M23 wanayajua mapori ya DRC nje ndani-haitakuwa rahisi kama wengi wanavyodhani. Kuna uwezekanao mkubwa wa kikosi hicho kuchezea kichapo cha fedheha!
 
Jk anafanya maamuzi ya kijinga sana ..m23 wanakuhusu nini
Wanatuhusu. Vurugu wanazosababisha congo zina distabilise Tanzania. Hivi sasa hakuna usalama eneo la magharibi ya tz. Ukisafiri maeneo ya Tabora, karagwe na kadhalika unaweza kutekwa na kufanyiwa ubaya ambao hautasahau milele kama sio kuuliwa. Silaha na uharamia vinazagaa ovyo. Hawa wahuni lazima kukomeshwe. Sio tanzania tu inakwenda zipo nchi zingine pia, au unataka askari zetu wawe wanakaa tu na kukong'ota raia, wacha waende kufanya kazi.
 
tanzania ndo nchi ambayo iko mstari wa mbele kupigania ukombozi wa bara la afrika, hatuwezi kuwa huru mpaka afrika yote iwe huru, mwl. Nyerere'

ukombozi gani unaopiganiwa na tz? Nchi za africa zote ziko huru, au congo bado!!? Inawezekana kunachokochoko za kina Kagame kutaka kuweka kamrija kule congo alikujinufaisha kiuchumi kumeet ambitions zao za kijeshi, lakini dont talk about africa kuwa huru hapa.

Achana na siasa za kizamani wewe, mawazo ya Nyerere yalikuwa very unrealistic. Nchi ngapi tz imezisaidia kupigania uhuru lkn leo hii ni nani ata anaye wakumbuka?

Kuna namna ya kudeel na Kagame na Museveni kama wanaleta chokochoko congo kujinufaisha kijeshi lakini siyo kupeleka majeshi, so what?? Museveni na Kagame kila mtu anawajua, is a time bomb, they die a natural death, hauhitaji kupigana nao vita. Kama wanaleta threat, jipangeni vizuri, peleka mashushu, weka makombora pale mpakani kuelekea huko 24/7.

Kama hakuna usalama mipakani simpeleke majeshi huko!!!!

Hivi economic interest za wasouth kule congo unaweza kuzilinganisha na tz? Hivi ni nani aliye invest au serikali ya tz inajaribu kumlinda nani?

Leo hii peace ikipatikana congo watakao faidi wala siyo watz, ni wasouth na wakenya!! Hii nchi kazi yake sijue nini, nyie mmevamiwaaa??
 
Juzi kwenye kuapishwa rais Wa KENYA ....Kagame hakuonekana kuwachangamkia Rais wetu na wa South Afrika....

Kagame NA Museveni ni Wanafiki...

Sio wanafiki. Wenzio wanapigana vita kwa faida sio sisi tunaenda kuwasaidia wenzetu wakati hapa watu wetu wanatekwa na kung'olewa kucha na meno na serikali haina uchungu wa kuwatafuta watesaji wa raia wake.
Juzi jengo limedondoka vikapatikana vichwa viwili bila miili ila hata kusikia uchunguzi wa swala hili hakuna zaidi ya wale waliokata miili hiyo kwenda kula ubwabwa wa ikulu na raisi.

Kule mara watu wamekufa na maji yaliyochafuliwa na watu wa migodi ila mpaka leo kimya.

Dar es salaam siku hizi watu wanauawa kwa risasi kama movie vile ila nao ni upepo utapita.

Mambo yetu binafsi hatuyawezi na hata mipakani kwetu watu wanauliwa na kuporwa mifugo kila mara lakini tuki kimya.

Sasa eti tunaenda kumsaidia kabila.
I hope na yeye atakuja kutusaidia tukipigana na malawi maana sioni faida tutakayoipata kama nchi wakati yetu ya ndani tunawaita FBI.
 
Tungekuwa waoga,uhuru wa kusini mwa africa ungekuwa ndoto,lakini tulikuwa na rais jasiri na makamanda na jeshi lenye nidhamu ya hali ya juu,leo tunapewa heshima duniani kote "uhuru wetu auwezi kuwa sawa mpaka africa yote imekuwa huru"kaka na dada zetu wa kongo awajawahi kuiona amani,madhila ya unyang`anyi,kubakwa na ukosefu wa maendeleo ni jambo walilolizoea,sasa ni wakati wetu tuongoze njia katika ukombozi wa nchi yao,na si kwa kuwapokea wakimbizi bali kwa kuwahakikishia amani ya kweli,inawezekana tuwape moyo makamanda wetu
 
Just a millitary technique to measure the tension of our army, they are well equipped to disturb the people...for how long? I think they want to follow Ntaganda's footsteps.We all know that many governments in southern saharan desert are underperforming to enhance economic,social and political welfare to the people.But we need modality revolutionaries through political parties like my favorable CHADEMA in Tanzania rather than gorrilla war and frequent illogical uprising.M13 should choose to be swept away or changing into a legalized political party to wage for congolese well beings!
 
ukombozi gani unaopiganiwa na tz? Nchi za africa zote ziko huru, au congo bado!!? Inawezekana kunachokochoko za kina Kagame kutaka kuweka kamrija kule congo alikujinufaisha kiuchumi kumeet ambitions zao za kijeshi, lakini dont talk about africa kuwa huru hapa.

Achana na siasa za kizamani wewe, mawazo ya Nyerere yalikuwa very unrealistic. Nchi ngapi tz imezisaidia kupigania uhuru lkn leo hii ni nani ata anaye wakumbuka?

Kuna namna ya kudeel na Kagame na Museveni kama wanaleta chokochoko congo kujinufaisha kijeshi lakini siyo kupeleka majeshi, so what?? Museveni na Kagame kila mtu anawajua, is a time bomb, they die a natural death, hauhitaji kupigana nao vita. Kama wanaleta threat, jipangeni vizuri, peleka mashushu, weka makombora pale mpakani kuelekea huko 24/7.

Kama hakuna usalama mipakani simpeleke majeshi huko!!!!

Hivi economic interest za wasouth kule congo unaweza kuzilinganisha na tz? Hivi ni nani aliye invest au serikali ya tz inajaribu kumlinda nani?

Leo hii peace ikipatikana congo watakao faidi wala siyo watz, ni wasouth na wakenya!! Hii nchi kazi yake sijue nini, nyie mmevamiwaaa??

Unafurahisha kweli. Wewe unaamini hatuna mashushushu huko? Kwa taarifa yako Congo, Rwanda, Uganda
tunazijua nje ndani, na wala uamuzi wa kukubali ombi la UN si wa kukurupa. Tanzania is not stranger there!

Unasema Kagema anakufa natural death wakati huo huo unasema ni time bomb. Tunaenda kutegua "Time bomb".

Jiulize pamoja na Mataifa mengine ikiwemo South Africa kushiriki kwenye operation kwa nini M23 waionye
Tanzania tu! Wanajua joto lake.

"Sasa kazi yetu ni moja tu, ni kuwapiga" JK Nyerere.
 
Naona sasa hao M23 wameshaanza woga mapema mapema. Wasubiri kwanza tuwafuate huko halafu ndio waandike barua zao.

Walianza kumtumia yule mwandishi wa Habari, leo wanakuja wao wenyewe kuzungumza. Ujio wa Tanzania wanauogopa sana.
 
Watanzania tunayo amani mipakani lakini NDANI ya Nchi ni nafuu wangerudi waingereza watutawale kuliko wananchi kutokua na raha kwenye Nchi yao , eti kisa viongozi (waliowachagua wao) wanawanyanyasa. Kusema la ukweli kwa sasa mimi sina raha na udhalimu unaofanywa waziwazi na hatua zichukuliwazo! ; na uhuru wa mahakama kuamua adhabu stahiki bila kuingiliwa na MA-BOSS kadhaa. najiuliza sana mambo mengi kama ni kweli au la, na hatua zilizochukuliwa mf. EPA, RICHMOND, KAGODA INV., MAPESA YA USWIZI, TWIGA KWENYE NDEGE, LOLIONDO, RADAR, VIJISENT, MBOLEA ZA KILIMOKWANZA ZINAVYOTUMIKA, % ZA MIKATABA YA MIGODI YOOOOOTE, etc. Je,ni kweli yapo yote haya au kwangu mimi hapajakucha bado nipo NDOTONI.,!,! _-_---......!!!!!

Rudi kwenye Mada.
 
Je bunge letu limeafiki kupeleka kikosi chetu kupigana huko Congo? Wajue kuwa huko watakuwa wanapigana na jeshi la Kagame na sio hao mnaowaita M23; na jeshi la Rwanda sio la mchezo kwani mtabeba majezeza mpaka mkome!! Hizo fedha za U.N zitawatokea puani!!

Hata Jeneza lako pia litabebwa.
 
Back
Top Bottom