Hivi kama tuliweza kupigana na wareno huko Mozambique na nchi nyingine kusini, uwezo huo umekwenda wapi hadi tunatishiwa nyau na magaidi wa M23? Isije kuwa logistically hata hawa M 23 wako well equipped kuliko JWTZ maana leo ufisadi ni kila kona.wamemuandikia barua kumtaka asipeleke majeshi yake kongo,wakisema akiyapeleka watalipiza kisasi.SOURCEDW. mchana huu
Lakini kwa Mujibu wa Membe ni kwamba Amani ya Tanzania inategemea sana Amani za mataifa jirani ikiwemo Kongo DRC.
Lakini kwa Mujibu wa Membe ni kwamba Amani ya Tanzania inategemea sana Amani za mataifa jirani ikiwemo Kongo DRC.
Nadhani had kurugenzi ya mawasiliano ikulu itakapo thibitisha barua hiyo ndo nitaamini. Binafsi sijasikiliza hiyo habari DW, but hiyo taarifa ilikuwa balanced? Waliuliza ikulu kama kwel wamepokea hiyo barua au ni upande wa m23 ndo wametoa hiyo habari?
But nadhan m23 hawana ubavu wa kututunishia misuli manake kwa jeshi letu kwenda congo ni kwa makubaliano ya umoja wa mataifa so Tanzania imetekeleza agizo la baraza la usalama la umoja wa mataifa kuhakikisha usalama wa congo na nchi jirani.wanapima kujua msimamo wa tz kama ni vigeu geu ama vipi..bt najua mh. Membe ni mtu wa misimamo na hatarud nyuma kwa vitisho hvyo vya m23
well, hili ni la rais peke yake...
Huo ndio ukweli. Tuache siasa! Ikiwa kama tumejipima na kuamini ya kwamba tunaweza kuwasaidia Wakongo (DRC), je kwa nini tusifanye hivyo?? Kukosekana kwa amani kanda ya Maziwa Makuu ni hatari kwa usalama wetu, Kenya n.k. Ndio maana, pamoja na sababu nyingine, Kenya ilipeleka jeshi Somalia. Pia ni sehemu ya utekelezaji wa malengo ya Milenia, yaani kushirikiana na mataifa mengine katika kuleta maendeleo. Hatuwezi kuishi kama kisiwa. Mungu saidia jitihada zetu zizae matunda.
Kwa nini mkuu.well, hili ni la rais peke yake...
Lakini kwa Mujibu wa Membe ni kwamba Amani ya Tanzania inategemea sana Amani za mataifa jirani ikiwemo Kongo DRC.
Hao m23 wanapiga tu mkwara, wanajua hawana ubavu wa kuigusa tz, labda kama kuna mataifa yanawapa kiburi.