Sababu ya kulipuuza gazeti la the Economist

Jeshi la Polisi mkoani Mwanza limekiri kuwafurusha waombolezaji waliokuwa katika msiba eneo la Mabatini, kwa mabomu ya machozi kwa madai ya Chadema kutumia msiba huo kufanya vikao vya siri vya kisiasa. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza DCP Ahmed Msangi amesema "Ni kweli tumewafurusha, na tutaendelea kuwafurusha. Hatuwezi kuruhusu misiba kutumika kama kichaka cha kufanyia siasa. Kama watu wanataka kufanya mikutano ya kisiasa wafuate utaratibu. Waje waombe kibali kama wenzao (CCM) na sisi tutaamua either kuwaruhusu au kutowaruhusu, sio kutumia msiba kufanya siasa. Waambieni wakikusanyika tutawafurusha tena. Na sio kwenye msiba tu, hata kwenye harusi, matanga, vikao vya ukoo tukigundua wanafanya siasa tutawafurusha. Hata hivyo this time tumetumia nguvu ndogo sana. Siku nyingine tutatumia nguvu kubwa zaidi."
Yaani nyie badala ya kwenda kuomboleza mnaenda kufanya kikao cha chama?
 
Tunapoyasoma haya magazeti ni vyema tukatambua misimamo yao kuhusu mambo kadhaa kwani wanaweza wakawa wanaandika kwa niaba ya mabwa.bwa bila sisi kujua na tukaona wako sahihi.
Kuwa au kutokuwa kwao sahihi hakutatokana na maandishi ya wino wao, bali kile tunachokipata tukigandamizia maneno yao kwenye uhalisia hapa nchini kwetu. Period. Kama nyeupe, itakuwa ni nyeupe tu hata kama imesemwa na mtu ambaye ni color blind. Si tunaiona sisi wenyewe?
 
Hata tukiamua kulipuuza jarida la The Economist ila ukweli ni kwamba kila kitu ni dhahiri kwetu! Kama tukiamua kukisema au kukinyamazia ni hiyari yetu ingawa haiwezi kubadili ukweli ulio dhahiri kabisa!
 
Hizi ni comments k
Nimetafuta kupitia google kuhusu gazeti hili la The economist na nikaona pamoja na mengi linaloandika lakini kuna mabaya kuhusu uandishi wao na maadili yetu kama watanzania.soma hizi comments ili uchukue msimamo.
Hasa hasa katika eneo la kijamii.

Economic issues: Usually but not always conservative. They prefer lower taxes and fewer regulations, and they approve of schemes such as privatization of government assets. However, they are very much orthodox economically, so they support Keynesian policies such as economic stimulus that some people see as left-wing. There are a few issues where they don't align to the right at all. For example they are strongly in favor of action to address climate change, whether through a cap-and-trade scheme or a carbon tax, even though it will require massive government intervention in the economy.

Social issues: Liberal in all cases that I can recall. They support gay marriage, reproductive rights, drug legalization (of all street drugs), legal prostitution, legal euthanasia, and civil rights in general. They support high levels of immigration, and for example in the US they support amnesty for illegal immigrants, they support universal healthcare (though they prefer private market delivery mechanisms). They believe in lowering prison populations and in liberal sentencing. And so on[B\]

Foreign Policy: They are strongly in favor of a world dominated by western values, and prefer the US to openly exert its influence in the world. But they are not always in favor of military action. They think Liberal Democracy is the best form of government and that US and western foreign policy should promote it. They are slightly, but not extremely, pro-Israel. In my experience, Foreign policy is the area where they are the most inconsistent. They seem to be alternately hawkish and dove-ish.


haya ni maoni au comments za watu kuhusu vision/mision ya jarida hili kwa maana ya mtizamo wa mtu kama wewe unavyoona. Sasa kama ndivyo walivyo then wana uhuru wa kujieleza japo uhuru huo usitumike kuipotosha jamii....... "You never change things by fighting the existing reality. To change something, build a new model that makes the existing model obsolete".........sasa gharama ya kubadilisha the existing meaning kuidisturb the status quo ndo inayotuumiza.
Nimetafuta kupitia google kuhusu gazeti hili la The economist na nikaona pamoja na mengi linaloandika lakini kuna mabaya kuhusu uandishi wao na maadili yetu kama watanzania.soma hizi comments ili uchukue msimamo.
Hasa hasa katika eneo la kijamii.

Economic issues: Usually but not always conservative. They prefer lower taxes and fewer regulations, and they approve of schemes such as privatization of government assets. However, they are very much orthodox economically, so they support Keynesian policies such as economic stimulus that some people see as left-wing. There are a few issues where they don't align to the right at all. For example they are strongly in favor of action to address climate change, whether through a cap-and-trade scheme or a carbon tax, even though it will require massive government intervention in the economy.

Social issues: Liberal in all cases that I can recall. They support gay marriage, reproductive rights, drug legalization (of all street drugs), legal prostitution, legal euthanasia, and civil rights in general. They support high levels of immigration, and for example in the US they support amnesty for illegal immigrants, they support universal healthcare (though they prefer private market delivery mechanisms). They believe in lowering prison populations and in liberal sentencing. And so on[B\]

Foreign Policy: They are strongly in favor of a world dominated by western values, and prefer the US to openly exert its influence in the world. But they are not always in favor of military action. They think Liberal Democracy is the best form of government and that US and western foreign policy should promote it. They are slightly, but not extremely, pro-Israel. In my experience, Foreign policy is the area where they are the most inconsistent. They seem to be alternately hawkish and dove-ish.


 
Hizi ni comments k

haya ni maoni au comments za watu kuhusu vision/mision ya jarida hili kwa maana ya mtizamo wa mtu kama wewe unavyoona. Sasa kama ndivyo walivyo then wana uhuru wa kujieleza japo uhuru huo usitumike kuipotosha jamii....... "You never change things by fighting the existing reality. To change something, build a new model that makes the existing model obsolete".........sasa gharama ya kubadilisha the existing meaning kuidisturb the status quo ndo inayotuumiza.
Si ni ukweli lakini?na ndio maana inabidi tuwadharau kwa sababu Magufuli amebania NGOs za ushoga
 
Kuwa au kutokuwa kwao sahihi hakutatokana na maandishi ya wino wao, bali kile tunachokipata tukigandamizia maneno yao kwenye uhalisia hapa nchini kwetu. Period. Kama nyeupe, itakuwa ni nyeupe tu hata kama imesemwa na mtu ambaye ni color blind. Si tunaiona sisi wenyewe?
Wana article yoyote iliyoiongelea Ukatili na mauaji wakati wa ukoloni Tanzania?
 
Kwa hiyo ushoga kwako wewe ni kitu cha kawaida?

WE mbona kama mwehu? umesema mbona hawaandiki ushoga, Ushoga huku Europe/Usa ni kawaida kwako, kwangu sio kawaida, ila hainihusu, ninafanya nilichoakifuata basi. kama wewe ushoga wao unakuuma kwa nini usiandike kuhusu huo ushoga?
 
Wana article yoyote iliyoiongelea Ukatili na mauaji wakati wa ukoloni Tanzania?
Je, tunayo haki ya kuwapangia cha kuandika?
Kama wao hawajaandika, wengine wataandika.
Kila mtu anafanya kile anachoona kinafaa kwake na kina maslahi kwake na ana ujuzi nacho.
Kama vipi, tuandike sisi hizo makala ulizopendekeza.
 
WE mbona kama mwehu? umesema mbona hawaandiki ushoga, Ushoga huku Europe/Usa ni kawaida kwako, kwangu sio kawaida, ila hainihusu, ninafanya nilichoakifuata basi. kama wewe ushoga wao unakuuma kwa nini usiandike kuhusu huo ushoga?
Exactly. Wao wameandika hayo waliyoandika kuhusu sisi kwa utashi wao na maslahi yao na mtazamo wao. Kama yametuuma, haina maana kuyaponda kwa kuandika orodha ya yale ambayo hawajaandika kama njia ya kuwa discredit. Kama hayo ambayo hawajaandika tunaona yanafaa kuandikwa, kwa nini tusiyaandike sisi? Kwani tumewaajiri kutuandikia kile tunachopenda kusoma/kusikia?
 
WE mbona kama mwehu? umesema mbona hawaandiki ushoga, Ushoga huku Europe/Usa ni kawaida kwako, kwangu sio kawaida, ila hainihusu, ninafanya nilichoakifuata basi. kama wewe ushoga wao unakuuma kwa nini usiandike kuhusu huo ushoga?
Uspanic broo...nimekuuliza kwa nini hawaandiki kuhusu ushoga nchini Tanzania...wanajua hawatapewa support.
 
Uspanic broo...nimekuuliza kwa nini hawaandiki kuhusu ushoga nchini Tanzania...wanajua hawatapewa support.

Ushoga Tanzania is very minor, yani hata mimi mwenyewe ninayekuwaga Tanzania siujui hata kama umekuwa sana, watu hawaandiki tu, lakini kuna issue zina shout sana inakuwa rahisi kuandika!
 
Confidence alikuwa nayo Nyerere na akashindwa. Huyu Nyapara ataweza
Wanababaika tu....kama vile CNN wanavyomuandika Trump daily...yaani wanampa kiki tu.
Kagame kaandikwa sana ila anasonga mbele tu...Museveni kaandikwa mno ila yupo vyema....
 
Jamaa anavuruga UCHUMI wa Nchi..

The Economist hawajakosea..

Hayo mengine sio kwa sana hivi sasa..

Linalotuhusu ni hili la Pogba kuvuruga Uchumi wa Nchi na kukandamiza wapinzani..

Tena The Economist wameeleza vizuri sana jinsi jamaa/serikali inavyohusika na kumpiga risasi Tundu Lissu..

Hili gazeti LIDUMU.
Mimi kwasasa naungana na mtu yeyote anaepambana na hili BAKAYOKO la MAGOGONI hata kama ni shetani, hata kama nikimkuta nyoka anapambana na hilo shetani ni bora umsaidie huyo nyoka. Jitu la ajabu sana
 
Wanababaika tu....kama vile CNN wanavyomuandika Trump daily...yaani wanampa kiki tu.
Kagame kaandikwa sana ila anasonga mbele tu...Museveni kaandikwa mno ila yupo vyema....


IQ ya Kagame na Trump ni mara mbili ya hiyo ya Magu. Tatizo la Magufuli ni ukurupukaji. Mkiweza kumdhibiti kwa hilo atafanikiwa
 
Wanababaika tu....kama vile CNN wanavyomuandika Trump daily...yaani wanampa kiki tu.
Kagame kaandikwa sana ila anasonga mbele tu...Museveni kaandikwa mno ila yupo vyema....
Ivyo kwenye hii dunia kuna mtu mwenye utimamu kichwani anaeweza kumsifia Kagame au Museveni..!?
Well, kwa CCM ya wauwaji na watekaji ni sawa.
 
Back
Top Bottom